princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
baba angu anakeshaga akipumzika pombe halali!
kwahiyo ni kawaida kabisa..
wengine wanaumwaga.
huo ni mfadhaiko ,hukutakiwa kuacha gafla ilibidi uache taratibu sio gafla.....
chochote ukiacha gafla kina cost ,hata mke ukimuacha gafla.
kwahiyo ni kawaida kabisa..
wengine wanaumwaga.
huo ni mfadhaiko ,hukutakiwa kuacha gafla ilibidi uache taratibu sio gafla.....
chochote ukiacha gafla kina cost ,hata mke ukimuacha gafla.