Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Habari wakuu..
nimefanikiwa kuacha pombe hapa karibuni lakini nimekua na tatizo la kutopata usingizi toka nilipoacha naombeni msaada nifanye nini kuondokana na hali hii
Kwanini uliacha pombe Gorilla Zoo ?
 
Nakuambia nchi itasimama, walevi tunaisaidia sana nchi iende, na ndo maana tunalindwa sana na sheria tukiwa bar... Njoo kwenye mazingira yangu ya bar nikupasue kichwa uone kama nitashitakiwa....
Ha haaa hapana kuna vyanzo vingine vya mapato boss hata tuache wote mambo yatakwend
 
Hongera mkuu kwa uamuzi wa thamani maishani.
Zaidi ya kufanya mazoezi, Jijengee utamaduni wa kusoma kitabu cha dini au chochote cha kujenga kabla ya kulala usingizi utakuja ukija usiuzuie uzime taa na simu ulale.

Vitu vinavyoondoa usingizi.
1:Chumba chenye mwanga. Hakikisha kuna giza la kutosha ili Homorne ya usingizi (Melatonin) itolewe ya kutosha maana ni inaathiliwa na mwanga. Hii inaenda mbali hadi kulala na simu, smartphone ule mwanga unaathiri usingizi.

Kuna kitabu naweza kukuPM ukipenda kinaelezea Historia ya Usingizi na mambo yote kuhusu usingizi.
Ni pm. MKUU hicho kitabu if possi le
 
Hongera mkuu kwa uamuzi wa thamani maishani.
Zaidi ya kufanya mazoezi, Jijengee utamaduni wa kusoma kitabu cha dini au chochote cha kujenga kabla ya kulala usingizi utakuja ukija usiuzuie uzime taa na simu ulale.

Vitu vinavyoondoa usingizi.
1:Chumba chenye mwanga. Hakikisha kuna giza la kutosha ili Homorne ya usingizi (Melatonin) itolewe ya kutosha maana ni inaathiliwa na mwanga. Hii inaenda mbali hadi kulala na simu, smartphone ule mwanga unaathiri usingizi.

Kuna kitabu naweza kukuPM ukipenda kinaelezea Historia ya Usingizi na mambo yote kuhusu usingizi.
Na mm nipiem hicho kitabu boss
 
Kaka ndo umeamua kuacha lusekelo kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
duh magu nomaa...hadi desemba bar zitafungwa mana siku hizi watu hunywa home tuu tena k vant kwa kusingizio cha kuondoa weight.
Hii weight issue imekuwa resolved automatically, tangia uhakiki wa vyeti uanze vitambi vilipungua, kufutwa kwa seminar nako vinazidi kuyeyuka sasa bia ni because tu watu wanatafuta.
 
Habari wakuu..
nimefanikiwa kuacha pombe hapa karibuni lakini nimekua na tatizo la kutopata usingizi toka nilipoacha naombeni msaada nifanye nini kuondokana na hali hii

Pole sana mkuu,
Hii ni kawaida sana kutokea pale ambapo mtu alikuwa analewa kila siku na akaamua kuacha ghafla kunywa pombe. Lakini nakupa hongera sana mana hata mimi niliwahi pitia huko na kukosa usingizi. Lakini hili lisiwe chanzo cha kurudi huko utokako
 
Boondocks wapi huko windhock inauzwa bei hiyo wakati samki samaki ni 5,500. Fish Market ni 5,500 na papichulo ni 3,000. four ways 3,000. Sai sai ni 4,000, Shhoters ni 6,000 Jakis 3,000 Didis ni 3,000 Trinity 5,000
Hapa nilipo sasa hivi napiga windhock 2500/= Tsh
 
Boondocks wapi huko windhock inauzwa bei hiyo wakati samki samaki ni 5,500. Fish Market ni 5,500 na papichulo ni 3,000. four ways 3,000. Sai sai ni 4,000, Shhoters ni 6,000 Jakis 3,000 Didis ni 3,000 Trinity 5,000
...teh hee hee..,kuna post umedai ulipokuwa na 50,000 ulikuwa unaogopa kuingia bar,
...na kwa kutaja taja haya majina umedhihirisha pasi na shaka kuwa wewe ni mshamba na ulikuwa unakunywa bia kishamba!..,
...hata baada ya kuacha hujaongeza i.q yoyote zaidi ya kuongeza ukibuyu kichwani!
...ngoja nirudie swali unalolikwepa kwa maksudi,una hisa ngapi CRDB baada ya kuacha pombe??
...teh hee hee
 
Back
Top Bottom