Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Nina hamu uoneshe ni jinsi gani na kila dawa ina viambata gani ambavyo vitaenda kumfanya mtu aache uraibu wa kitu husika.
Mfano nini kitaenda kuvunja arosto kwa mvuta sigara, bangi na mnywa pombe.
Siri ya ofisi mkuu hii ni alimasi siwezi kupa
 
Umenena vema,,,vyote ni rahis sana kuacha ikiwa tu utaamua,njia pekee ya kufanya au kutofanya chochote ni kuamua peke yako. Kua sitak tens na kuanzia Leo naacha na uamue kwel kwel
Aaah wapi
 
Siri ya ofisi mkuu hii ni alimasi siwezi kupa
Baadae simu yako itakuwa haipatokani. Ukipata watu elfu1 mtaji tayari. Mbunifu sana wewe.

Kwa usawa huu wa magu lazima akili izunguke sana.
 
Baadae simu yako itakuwa haipatokani. Ukipata watu elfu1 mtaji tayari. Mbunifu sana wewe.

Kwa usawa huu wa magu lazima akili izunguke sana.
Mkuu sijafanya ujanja janja.ndo sbb nataka mwenye mawasiliano au anayeweza kunikutanisha na chidbenzi anikutanishe
 
Dokta nadhani uanzie na hawa watu maarufu kama wasanii wanaoteketea kwa dawa za kulevya, baada ya hapo utakuwa umeshajitangaza. Ningependa kujua dawa zako zimethibitishwa nani kwa matumizi ya binadamu? na je una kibali cha kufanya hii biashara yako? maana hata hizo sigara na pombe zimethibitishwa pamoja na madhara yake.
Watu wengi wangependa kuacha lakni inahitaji uhakika na ushuhuda wa kweli kwa waliotumia haswa tunaowajua kuwa waliathirika, vinginevyo utaonekana mpiga dili.
 
Namba za simu sizitaki mkuu elekeza wapi zinapatikana kwa mana namba zetu humu na wengi wao ni wachangia mada za kisiasa usije nifunga bure.
 
Siri ya ofisi mkuu hii ni alimasi siwezi kupa
Mmhh TBS pia hautawaonesha viambata ili wajue kama ni salama kwa afya ya binadamu?
Kwenye kihifadhio chako hautaonesha ingredients za hiyo dawa?
Kinachofichwa ni kiasi na namna uchanganyaji unavyofanywa siyo viambata vya kitu husik, ndiyo maana juisi kwenye boksi au chupa unakuta hivyo vitu vikiwa vimeelezewa.
 
Back
Top Bottom