Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikitokea watanzania wote wakaacha kunywa pombe kabisa vipi hali ya uchumi wetu itakuwaje??
Badala ya bia tandika mikeka kwa kanji kila weekend haina haja ya kununua hisa
Mm nimemua na nàamini nimeacha mwezi wa 3 sasa sijagusa na sina hamu nayo
Siku moja nililewa nipoinama chini kuvaa vzr viatu nilitokwa na damu nyingi kuani,nikalala ziliponiisha nikaenda hospital nikaambiwa sina tatizo,tangu siku hiyo ndo nikaona ni upumbavu nitakuja kufa nikaachaa nikaanza na balitika na maji,mara juicy saaa hv naenda bar nakunywa soda tu narud,lkn nilishafikia kumaliza cret au grants kubwa 3 na nakuw mzima natembea mwenyeweNdugu hebu tupeane elimu basi, Ulipoacha hukuwahi kupata kiu?