hahahha,halafu pia inaleta hamu ya mambo yaleeeeeeeeeeeeee!!!!!!Haaa haaa...mt.anna pombe bana, wazungu na hizi dini zao mmmh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahha,halafu pia inaleta hamu ya mambo yaleeeeeeeeeeeeee!!!!!!Haaa haaa...mt.anna pombe bana, wazungu na hizi dini zao mmmh!
Kila mtu anampenda Sky, haringi hata kidogo, yuko majuu na ana maisha mazuri lkn yuko simple vibaya mnoo!Ila nampenda sana Sky Eclat ni dada mstaarabu sana kwa kweli. Ndio maana nikiona uzi wake kama kuna mtu anamjibu mbovu huwa navaa tabia za Mtikila (nainunua hiyo kesi).
Ni white n sweet wine mkuu?Siku moja naomba ujaribu altar wine hutojutia.... [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Ni sweet na white nayo?Hata two oceans ni nzuri sana
Hiyo altar Mlimani zipo? Na ni sh ngapi?Inaenda kwa ngapi dukani maana weekend ndio imekwishaingia hivyo....
Yenyewe ilinikataa, nikiwa jeshini, sikuipenda Kabisa!Uliwahi kuonja?
Kwa hilo nakuunga mkono hana majivuno kabisa huyo mdada.... Afu inaonesha katembelea nchi za nje nyingi tu.....Kila mtu anampenda Sky, haringi hata kidogo, yuko majuu na ana maisha mazuri lkn yuko simple vibaya mnoo!
Sana..nyegeleshihahahha,halafu pia inaleta hamu ya mambo yaleeeeeeeeeeeeee!!!!!!
Supermarket utaipata kwa 12000 pesa za JPM....Hiyo altar Mlimani zipo? Na ni sh ngapi?
Pombe za kike ndio zipi? Maana kuna demu nilimtoa out akaagiza BALIMI.Pombe za wanaume hizo! hahhahahaaha mie siipendi saaana. Napenda pombe nyepesi nyepesi za kike
Kabisa mkuu...love u Dr. Sky Eclat (sasa hivi anakuja kukana hapa kuwa yy sio Doc. na anaishi kwa mtogole[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] )Kwa hilo nakuunga mkono hana majivuno kabisa huyo mdada.... Afu inaonesha katembelea nchi za nje nyingi tu.....
Yupo simple and straight...
Hamjaacha tuu kulalamikaShost na nunua huwa sipokei vimisaada vya kipuuzi kama hivyo. Kama mwanamme akitaka kuninunulia basi "tununuliane". Hivi unajua wanaume siku hizi wapo wapo tu, anakununulia kibia kimoja huna hata mahusiano naye, then anaanza "hivi hii baa ina vyumba?" mfyuuuuuuu.
Nakunywa pesa yangu shost
Ndio ipo!Wadau hivi kuna dawa ya kuacha hii kitu?!
![]()
Hata bar zakishua mkiwanywea wana maindi, sema wanakaushagatu.kwani anakunywa bar za kihuni?
Namfuatilia mara kibao kwa jukwaa la Medical kule anajua vitu vingi kweli naona wao ndio walikuwa wasomi wasomi wa mwanzo..... Ila kwenye HIV topics huwa yupo active mpaka huwa namhisi may be ana wadudu.....Kabisa mkuu...love u Dr. Sky Eclat (sasa hivi anakuja kukana hapa kuwa yy sio Doc. na anaishi kwa mtogole[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] )
Ahaaaaaa haaaaa....mkuu, bado hujamsoma vizuri, anapenda sana masihara!Namfuatilia mara kibao kwa jukwaa la Medical kule anajua vitu vingi kweli naona wao ndio walikuwa wasomi wasomi wa mwanzo..... Ila kwenye HIV topics huwa yupo active mpaka huwa namhisi may be ana wadudu.....
Maybe mkuu... maana hata nyuzi zake wakati mwingine huwa sizielewi nahisi huwa anakurupuka kutoka usingizini na kuandika [emoji4] [emoji4] [emoji4]Ahaaaaaa haaaaa....mkuu, bado hujamsoma vizuri, anapenda sana masihara!
Kuna mtu alishamjibu kuwa yy ni + ve, jus simple like that, na vitu kibao tuu, anakujibu kitu lkn ukimfatilia vizuri unakuta alikuwa anazingua tu[emoji23] [emoji23]