Mfarisayomtata
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 474
- 188
jamani mtu ameniambia ni m-pm ili anisaidie kuhusu hili yeye ni mtaalam asa sielewi namna ya kufanya, naomba kuelekezwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu@paty Kinyonga hana sumu lakini mkuu?dawa ya kuacha pombe ni kinyonga,
una mchukua kinyonga unamkausha , then unamsaga , ule unga wake unaweka kwenye bia ya mtu unaetaka aache pombe ,
akinywa tu , hajikugusa tena pombe .
we have do this million times,it always work
mkuu huku kwetu uheheni hii kitu inatumia, it works 100 % perfectlyMkuu@paty Kinyonga hana sumu lakini mkuu?
Unasema uongo wewe Maziwa ya nguruwe sio Dawa ya kuacha kunywa Pombe. dawa ya kuacha Pombe tafuta Mama anaye nyonyesha akutilie kwenye pombe yako maziwa yake kidogo tu utaacha kabisa kunywa Pombe fanya hivyo unipe FeedBack
both pombe na nguruwe ni haramu ktk uislam
Mkuu@paty wewe ni Mhehe wa wapi? iringa? Kamwene?mkuu huku kwetu uheheni hii kitu inatumia, it works 100 % perfectly
Mkuu@Mwana Mtoka Pabaya Unajuwa kile unachokisema lakini? Umetowa aya za Quran unajuwa lakini maana yake? Nakusaidia kidogo maana nimeona umetowa aya lakini hujuw i unachokisema aya uliyotowa hii hapa ( Soma Sura 47:15) 15. Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya mvinyo yenye ladha kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa. Na wao humo watakuwa na kila namna ya matunda, na maghfira kutoka kwa Mola wao Mlezi. Basi hao ni kama watakao dumu Motoni na wakinyweshwa maji yanayo chemka ya kuwakata matumbo yao?Huu ndio upotoshaji. Kwanza napinga vikali kuwa pombe ni haram kwa Uislamu. Soma Sura 47:15 na
Suras 83:22,25.
La pili,nguruwe si haram kwa uislamu. Kilicho haram ni kula nyama yake.
be ndauli, ndili ku iringaMkuu@paty wewe ni Mhehe wa wapi? iringa? Kamwene?