Nashukuru sana wanasiasa mahiri walio saidia kurahisisha ujumbe na inazidi kuwa ngumu kwa matapeli kudanfanya tena. Tuna chaguo mbili tu! Hakuna chaguo la tatu
1. Kama una amini chaguzi za 2019,2020 na 2024 zilikuwa na huru na haki. Wewe basi pigania kupiga kura
2. Kama una amini chaguzi za 2019,2020 na 2024 hazikuwa za huru na haki basi no reform no election.
1. Kama una amini chaguzi za 2019,2020 na 2024 zilikuwa na huru na haki. Wewe basi pigania kupiga kura
2. Kama una amini chaguzi za 2019,2020 na 2024 hazikuwa za huru na haki basi no reform no election.
