Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Lets hopehamna bhana,, ni mtu poa tu jamani...hope kashaongea nae😊🤗
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lets hopehamna bhana,, ni mtu poa tu jamani...hope kashaongea nae😊🤗
Kama ya my daughterBday yang november bado sana
Haya kashapata mateKama ya my daughter
Sawa bhanaLets hope
DateHaya kashapata mate
Nakuombea Sana best japo ingekua prvt ningekushauri Jambo baad ya kusikia machche yanayokusibu. Nimepita hyo situation some times back na Kwa kweli ina changamotoNiombee mema mkuu
Hakika nitavukaNakuombea Sana best japo ingekua prvt ningekushauri Jambo baad ya kusikia machche yanayokusibu. Nimepita hyo situation some times back na Kwa kweli ina changamoto
Kwny uji auMimi naweza kukushauri utuklmie mlonge,mlonge ni mzuri sana katika kupambama na msongo wa mawazo,nimewahi kukumbwa na hiyo hali na suruhisho ilikuwa unga wa mlonge,
Nimepitia msongo mkuu wa mawazo nikawa namuambia mdogo wangu yaliyonikuta na maujings niliyoyafanya mpaka kufikia kupata matatizo,Kama una mtu wa kuongea nae muelezee,it helps...
Ameen.Hakika nitavuka
Mtu pekee anayeweza kukusaidia ni yule aliyewahi kupitia Hali kama yako na akavuka maana anaweza kuvaa viatu vyako,wengi watakupa pole ambayo itakupoza Kwa muda tu..Ni kweli unaweza kusoma vitabu, unaweza kugoogle na pengine kuingia youtube but you need someone wa kuzungumza nae face to face or through the phone.Aisee unajua tunasikiaga watu wanajiua tunawaona wajinga sana ila ukweli labda sababu hayajatufikia.
Tuombeane aisee hivi depression inaweza kutoka kwa njia zipi. Unajaribu kulala havilaliki, washa TV huelewi unachoangalia, unaweka mziki unaona kama kelele. Yani vururu vururu nimelia wee usku kucha mpaka macho yamevimba.
No shoulder to cry on, no one to sit pemben yako akakusikiliza na kukufariji.
Nyie aisee tuombeane its hard.
Ni hivyo mkuu,ukiongea kuna kamzigo fulani unakatua...hata kama tatizo halitaishaNimepitia msongo mkuu wa mawazo nikawa namuambia mdogo wangu yaliyonikuta na maujings niliyoyafanya mpaka kufikia kupata matatizo,
mdogo wangu Huniskiliza tu yeye wakati huo akiwa na miaka 18 mimi nimemzidi miaka zaidi ya 9.
Nikimaliza kuongea nae nilikuwa nahisi some rief,so kutafuta wa kuongea nae it help sometimes.
Duh! [emoji23][emoji23][emoji23] kama ndio hivyo hizo hospitali zingeshafulika siku nyingi sana.Una ugonjwa wa akili seek for medical helps Muhimbili hospital kama huko psychiatric department ukaonane na specialist wa masuala mental health na psychologists wote wako pale especially kama uko dar na kama mkoani NENDA hospital ya wilaya uliyopo au mkoa uliopo.
KumlambaKugida ndo kufanyaje mkuu😃😃🤣🤣🤣🙌
Mmmmh! Ndugu, msongo wa mawazo hauna dawa zaidi ya ushauri au kukubali wewe mwenyewe kuondoa mawazo ya kile kinacho kukabili, mwenye Sonona, ili kuondoa au kupunguza hiyo hali, anza Kwa kushirikisha watu dhidi ya shida yako bila kujificha, maongezi ya watu na ushauri wao utakusaidia kuondoa au kupunguza msongoMimi naweza kukushauri utuklmie mlonge,mlonge ni mzuri sana katika kupambama na msongo wa mawazo,nimewahi kukumbwa na hiyo hali na suruhisho ilikuwa unga wa mlonge,