- Thread starter
- #161
Ndio mkuu ila hii sio ishu inayonizonga zaidHuna pesa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuu ila hii sio ishu inayonizonga zaidHuna pesa?
Na kuna mwamba ataokotwa apigwe tukio.Halafu ukute ni birthday loading
Kugida ndo kufanyaje mkuu😃😃🤣🤣🤣🙌Huyo atamgida tu
KukulwaKugida ndo kufanyaje mkuu😃😃🤣🤣🤣🙌
Kama issue sio pesa wala maradhi hilo sio tatizo kubwa unaweza ukalala ukaamka uko vizuri.Ndio mkuu ila hii sio ishu inayonizonga zaid
Njoo basi hata hapa karibu na kijiwe mshikaki badae.. tupate mbili tatu.. sonona itaisha tuNpo nyumbani
Sawa ila situmii kileviNjoo basi hata hapa karibu na kijiwe mshikaki badae.. tupate mbili tatu.. sonona itaisha tu
Usijali, maana hata mie situmii kilezi.. usikae kae mwenyewe ndani uko na hali kama hiyo.. mazingira na hali uliyo nayo inaweza kukuhubiria zaidi ukajikuta unaumia zaidi.Sawa ila situmii kilevi
hamna bhana,, ni mtu poa tu jamani...hope kashaongea nae😊🤗Kukulwa
Jamani I wish ungekuwa karibu ningeongea na wewe live na kukupa hug kubwa ungekuwa sawaNmeongea na simu kibao. Nnachopokea ni pole tu. Hamna hata anayesema uko wapi tuongee najieleza wee then pole yatapita basi
Be blessed for this my dear. Hujui unanipa faraja kiasi ganiJamani I wish ungekuwa karibu ningeongea na wewe live na kukupa hug kubwa ungekuwa sawa
Mungu akusaidie uvuke hapoBe blessed for this my dear. Hujui unanipa faraja kiasi gani
Mimi kwa niabaJamani I wish ungekuwa karibu ningeongea na wewe live na kukupa hug kubwa ungekuwa sawa
Amen dearMungu akusaidie uvuke hapo
Pole kwa mrembo
Bday yang november bado sanaHalafu ukute ni birthday loading