National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
mtu mwenyewe nipo hapa hata sina kazi.. nipo nipo sina kazi yoyote yani nasubiri kupewa kazi tu nikiwasheWewee Una nyegee, hebu tafuta pipo akuzagamue, hiyo hali itaisha automatically.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtu mwenyewe nipo hapa hata sina kazi.. nipo nipo sina kazi yoyote yani nasubiri kupewa kazi tu nikiwasheWewee Una nyegee, hebu tafuta pipo akuzagamue, hiyo hali itaisha automatically.
Jaribu kuondoka ulipo nenda mkoa wa mbali kidogoAisee unajua tunasikiaga watu wanajiua tunawaona wajinga sana ila ukweli labda sababu hayajatufikia.
Tuombeane aisee hivi depression inaweza kutoka kwa njia zipi. Unajaribu kulala havilaliki, washa TV huelewi unachoangalia, unaweka mziki unaona kama kelele. Yani vururu vururu nimelia wee usku kucha mpaka macho yamevimba.
No shoulder to cry on, no one to sit pemben yako akakusikiliza na kukufariji.
Nyie aisee tuombeane its hard.
Hii nilitaka fanya majanga nauli ikaenda. Ndo najipanga upyaJaribu kuondoka ulipo nenda mkoa wa mbali kidogo
Asante dearPole sana mkuu.
Ngoja nijaribu kukufariji japo kwa kiasi kidogo.
Ipo hivi kama yalivyo majira ya mwaka yaani ukame, masika, kiangazi na kipupwe napo kwenye maisha sisi binadam tunapitia mapito kama haya kuna wakati wa masononeko, majuto, shida na raha.
Ni muhimu kufahamu madhila uliyonayo ni mapito tu kamwe hayato dumu katika maisha yako hivyo badala ya kuyachukulia kama adhabu yafanye ni darasa la kujifunza kupambana na changamoto na kukuwa kifikra.
Pia kama upo bukheri wa afya na huna ulemavu wowote hebu take time yako kati ya kesho au kesho kutwa nenda katembelee pale Ocean Road na pale MOI Hospitals ujionee how lucky your.
Asante 🙏
AmenMtwike Yesu fadhaa zako @ Dada .
Wanadamu wanaweza wasikisaidie wakakuumiza zaidi.
Upweke mbaya sana ila usikubali ukakukandamizaAh sio kweli jaman. Upweke ndo unamaliza
We sikuamin ujueUnaishi wapi mkuu ?
Naweza kukusaidia..
Kama hutojali tuonane
Yes huwa naheal fastLike, how? unahitaji mtu wa kukufariji mpaka uwe naye karibu,mpate conversation za face to face
Sonona ndiyo nini?Aisee unajua tunasikiaga watu wanajiua tunawaona wajinga sana ila ukweli labda sababu hayajatufikia.
Tuombeane aisee hivi depression inaweza kutoka kwa njia zipi. Unajaribu kulala havilaliki, washa TV huelewi unachoangalia, unaweka mziki unaona kama kelele. Yani vururu vururu nimelia wee usku kucha mpaka macho yamevimba.
No shoulder to cry on, no one to sit pemben yako akakusikiliza na kukufariji.
Nyie aisee tuombeane its hard.
Niombee mema mkuuAisee asipo elewa hili somo ajiandae na mazito zaidi
DepressionSonona ndiyo nini?
🙄🙄 alafu mie ndio unatakiwa kuniamini kuliko wote unao waamini humu ndani... chukua hili neno.. kama unataka mtu wa kumuamini na ni muaminifu ni mie hutojutia... Kama upo serious tuonane , mambo mengine yanahitaji kuonana ili kuyatatuaWe sikuamin ujue
Sawa kama ni kweli🙄🙄 alafu mie ndio unatakiwa kuniamini kuliko wote unao waamini humu ndani... chukua hili neno.. kama unataka mtu wa kumuamini na ni muaminifu ni mie hutojutia... Kama upo serious tuonane , mambo mengine yanahitaji kuonana ili kuyatatua
Uko wapi?Nmeongea na simu kibao. Nnachopokea ni pole tu. Hamna hata anayesema uko wapi tuongee najieleza wee then pole yatapita basi
ukweli, sio utani.. nipo seriousSawa kama ni kweli
Npo nyumbaniUko wapi?