Njia zipi unaweza kuzitumia kuondoa sonona?

Njia zipi unaweza kuzitumia kuondoa sonona?

Pole sana mamaa....Bwana Yesu akawe faraja yako akupe neema ya kusimama Tena....ukiwa mwenye furaha na amani....Kila mtu ana msalaba wake ( changamoto zake) hapa duniani, beba msalaba wako mfuate Yesu.
 
Jana my friends waliniita mahali wao wakawa wanakunywa pombe na kupiga mziki. Nkajitahd niwe nacheza tena wimbo wa diamond na jux enjoy nafata had step. Baba wee wap nkajikuta nshakaa. Dk 10 nyng nkawaambia naondoka wakanishikilia had wakaficha pochi. Nkaipata nkaondoka bila kuaga fika home nmelia had nkavimba
Pole sana Dr naeza kuja Pm kama hutojali [emoji4]
 
Sina ugonjwa wa akili by the way nashukuru for concern. Ungejua kinachoendelea ungeniambia am sorry
Dada ugonjwa wa akili si kwamba wewe unaokota makopo au umechanganyikiwa la hasha, bali hata ile hali ya akili kutofanyakazi sawasawa tayari ni tatizo.

Kuna dalili umezitaja hapo kama ukiangalia tv huelewi kinachoongelewa au mziki unaona kama kelele na kichwa kuuma.

Cha kwanza unatakiwa kufanya, identify chanzo cha hiyo hali kisha fanyia kazi kwa kukutana na wataalamu wa saikolojia au Dr.wa akili.

Mtaalamu wa saikolojia atakushauri namna bora ya kuyakabili matatizo yako na kukupa mbinu mbalimbali za kudeal nayo. Dr. wa afya ya akili Atakusikiliza, atakushauri na kama itabidi atakupa dawa za kukufanya akili isettle maana najua utakuwa halali vzr na utulivu wa kuwaza kawaida huna.
Rai yangu, jua ya kwamba hayo matatizo wewe si wa kwanza kupata hizo changamoto, so go easy.
 
Aisee unajua tunasikiaga watu wanajiua tunawaona wajinga sana ila ukweli labda sababu hayajatufikia.

Tuombeane aisee hivi depression inaweza kutoka kwa njia zipi. Unajaribu kulala havilaliki, washa TV huelewi unachoangalia, unaweka mziki unaona kama kelele. Yani vururu vururu nimelia wee usku kucha mpaka macho yamevimba.

No shoulder to cry on, no one to sit pemben yako akakusikiliza na kukufariji.

Nyie aisee tuombeane its hard.
Hii nahisi itakusaidia. Huyo binti hapo chini ni kipofu na jamaa hapo chini alipoteza familia , jamaa akajikatia tamaa!!!!!!! Hakuona umuhimu wa maisha!!!!!!!!! Binti alipopata upofu, bibi yake alimwambia maneno haya:

1689510297112.png

"My Grandma told me: Cry if you are sad.When there are no more tears,life will go on.”

Jifungie ndani lia mpaka machozi yaishe!!!!!!!!!!!!!!!
 
Aisee unajua tunasikiaga watu wanajiua tunawaona wajinga sana ila ukweli labda sababu hayajatufikia.

Tuombeane aisee hivi depression inaweza kutoka kwa njia zipi. Unajaribu kulala havilaliki, washa TV huelewi unachoangalia, unaweka mziki unaona kama kelele. Yani vururu vururu nimelia wee usku kucha mpaka macho yamevimba.

No shoulder to cry on, no one to sit pemben yako akakusikiliza na kukufariji.

Nyie aisee tuombeane its hard.
mbususu, utanishukuru.!
 
Wewe sema una shida ya ndoa au kuish na mwanaume... Huna sonona ni hofu ya kuonekana unazeeka bila ndoa... Wanawake mbona tunawajua akili zenu... Na kama upo singo maza basi tena imekula kwako...
 
Wewe sema una shida ya ndoa au kuish na mwanaume... Huna sonona ni hofu ya kuonekana unazeeka bila ndoa... Wanawake mbona tunawajua akili zenu... Na kama upo singo maza basi tena imekula kwako...
Haya mtabiri mm ni nan nikubishie mwaya
 
Aisee unajua tunasikiaga watu wanajiua tunawaona wajinga sana ila ukweli labda sababu hayajatufikia.

Tuombeane aisee hivi depression inaweza kutoka kwa njia zipi. Unajaribu kulala havilaliki, washa TV huelewi unachoangalia, unaweka mziki unaona kama kelele. Yani vururu vururu nimelia wee usku kucha mpaka macho yamevimba.

No shoulder to cry on, no one to sit pemben yako akakusikiliza na kukufariji.

Nyie aisee tuombeane its hard.
Tafuta mwanaume anaye eleweka na wewe ueleweke kwake utakuja kunishukuru sana. Nipo zangu huku na zunguka zunguka tuu


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Hizo njia unazoapproach sio njia sahihi kwako kutoa dukuduku(on going conflict within you), kuna watu yakiwakuta hutumia muda kulizungumza tatzo na hii husaidia wengi.......Mtafute mentor mueleze changamoto unayoipitia.
 
Hizo njia unazoapproach sio njia sahihi kwako kutoa dukuduku(on going conflict within you), kuna watu yakiwakuta hutumia muda kulizungumza tatzo na hii husaidia wengi.......Mtafute mentor mueleze changamoto unayoipitia.
Sawa nashukuru
 
Unadhani ni depression basi ni uko lonely, you don’t have anyone to talk to, kukupa company, toka hapo jichanganye nenda kwenye kusocialize na watu, kwenye makongamano ya kidini, concert etc, Kingine unaweza kuanza na small steps anza wewe kusalimia watu each morning, wakikupa positive response basi utakua ni mtu wa furaha Siku hio, ndio utaenda nayo kazini , kazini uko pia utaendelea kuwa ni mchangamfu , na ukiendelea kufanya hivyo ndiovyo utaendelea kupata postive response kazini kwa Siku hio kutokana na uchangamfu wako since watu hu avoid watu wasio na furaha, ukiwa umejifungia Dunia ya peke yako it shows to outside world, ukichangamka na watu pia huchangamka, tukipata postive feedback kutokana na hizi two-way interactions ndivyo tunavyokua na furaha, you won’t carry home the burden of being lonely
 
Unadhani ni depression basi ni uko lonely, you don’t have anyone to talk to, kukupa company, toka hapo jichanganye nenda kwenye kusocialize na watu, kwenye makongamano ya kidini, concert etc, Kingine unaweza kuanza na small steps anza wewe kusalimia watu each morning, wakikupa positive response basi utakua ni mtu wa furaha Siku hio, ndio utaenda nayo kazini , kazini uko pia utaendelea kuwa ni mchangamfu , na ukiendelea kufanya hivyo ndiovyo utaendelea kupata postive response kazini kwa Siku hio kutokana na uchangamfu wako since watu hu avoid watu wasio na furaha, ukiwa umejifungia Dunia ya peke yako it shows to outside world, ukichangamka na watu pia huchangamka, tukipata postive feedback kutokana na hizi two-way interactions ndivyo tunavyokua na furaha, you won’t carry home the burden of being lonely
Thank you dear
 
Back
Top Bottom