Njia zipi unaweza kuzitumia kuondoa sonona?

Njia zipi unaweza kuzitumia kuondoa sonona?

Huna depression, kuna vitu tu havijakaa sawa unaviwaza sana ila sio depression, depression ni kitu kizito sana tusichanganye stress na depression....

Acha kujifungia ndani toka nenda hata beach kabarizi, anza kufanya mazoezi itakusaidia kwenye kuuchosha mwili na kupata usingizi mzuri, nunua diary andika kila kitu ambacho unahisi hakipo sawa na hata kilicho sawa, andika magumu na matamu yako, ikijaa nunua nyingine na nyingine fanya kama diary ndie rafiki yako wa kumwambia vitu, siku ukipata muda unapitia kusoma unapoona hapafai tena unaweza kuchana, hiyo ina maanisha umeufunga huo ukurasa na upo tayari kuanza upya,

Kama mahusiano yanachangia wewe kua na stress basi achana na huyo mtu, jali furaha yako, na kama ni familia jiweke mbali kwa muda tafuta furaha yako mwenyewe usitegemee watu, jifunze kuignore vitu kua positive always, usiweke mafundo moyoni hapo unakaribisha unyonge, kama huna mtoto tafuta pet uishi nae awe cat, dog, bird, etc itakufanya uwe responsible na hao viumbe wana kampan nzuri sana,

Mabadiliko huanzia kwako, tanguliza furaha yako mbele kuliko chochote, wewe ni wa thamani usikubali mtu akwambie otherwise,

Hugs 🫂 & Good luck 🤍🤍
 
Pole sana, namna ya kujiepusha na hiyo hali ni kubadili hali ya maisha ''life style''; kwa mazingira ya sasa, kuna changamoto nyingi na kila mmoja anazipitia kwa namna yake, muhimu tu ni kutokukata tamaa.​
 
Huna depression, kuna vitu tu havijakaa sawa unaviwaza sana ila sio depression, depression ni kitu kizito sana tusichanganye stress na depression....

Acha kujifungia ndani toka nenda hata beach kabarizi, anza kufanya mazoezi itakusaidia kwenye kuuchosha mwili na kupata usingizi mzuri, nunua diary andika kila kitu ambacho unahisi hakipo sawa na hata kilicho sawa, andika magumu na matamu yako, ikijaa nunua nyingine na nyingine fanya kama diary ndie rafiki yako wa kumwambia vitu, siku ukipata muda unapitia kusoma unapoona hapafai tena unaweza kuchana, hiyo ina maanisha umeufunga huo ukurasa na upo tayari kuanza upya,

Kama mahusiano yanachangia wewe kua na stress basi achana na huyo mtu, jali furaha yako, na kama ni familia jiweke mbali kwa muda tafuta furaha yako mwenyewe usitegemee watu, jifunze kuignore vitu kua positive always, usiweke mafundo moyoni hapo unakaribisha unyonge, kama huna mtoto tafuta pet uishi nae awe cat, dog, bird, etc itakufanya uwe responsible na hao viumbe wana kampan nzuri sana,

Mabadiliko huanzia kwako, tanguliza furaha yako mbele kuliko chochote, wewe ni wa thamani usikubali mtu akwambie otherwise,

Hugs 🫂 & Good luck 🤍🤍
Nascreenshot hii asante
 
Aisee unajua tunasikiaga watu wanajiua tunawaona wajinga sana ila ukweli labda sababu hayajatufikia.

Tuombeane aisee hivi depression inaweza kutoka kwa njia zipi. Unajaribu kulala havilaliki, washa TV huelewi unachoangalia, unaweka mziki unaona kama kelele. Yani vururu vururu nimelia wee usku kucha mpaka macho yamevimba.

No shoulder to cry on, no one to sit pemben yako akakusikiliza na kukufariji.

Nyie aisee tuombeane its hard.
Hata me huwa inanitoke yan mzik hata kama unaupenda ila yanayoimbwa nikama huyaelewi hv kila kitu unaona kama kinakukera nadhan hyo hutokea kwa wale tusiokuwa na tabia ya kujichanganya na watu tushazoea upweke fanya utafte hata njia ya kuunda urafk na watu hata kama wako mbali inaweza kuwa hata kwenye groups za watsup ila inabd uwe na moyo maana ukiwa mgeni kwa group unaweza ona wanakutenga mawazo ya haraka ni kuleft we usikimblie kuleft jichanganye humo hata kama mada haikuhusu itakusaidia [emoji4]😀
 
Hata me huwa inanitoke yan mzik hata kama unaupenda ila yanayoimbwa nikama huyaelewi hv kila kitu unaona kama kinakukera nadhan hyo hutokea kwa wale tusiokuwa na tabia ya kujichanganya na watu tushazoea upweke fanya utafte hata njia ya kuunda urafk na watu hata kama wako mbali inaweza kuwa hata kwenye groups za watsup ila inabd uwe na moyo maana ukiwa mgeni kwa group unaweza ona wanakutenga mawazo ya haraka ni kuleft we usikimblie kuleft jichanganye humo hata kama mada haikuhusu itakusaidia [emoji4]😀
Jana my friends waliniita mahali wao wakawa wanakunywa pombe na kupiga mziki. Nkajitahd niwe nacheza tena wimbo wa diamond na jux enjoy nafata had step. Baba wee wap nkajikuta nshakaa. Dk 10 nyng nkawaambia naondoka wakanishikilia had wakaficha pochi. Nkaipata nkaondoka bila kuaga fika home nmelia had nkavimba
 
NEW girl
Mimi nafikiri achana na kuwaza ukubwa au zuito wa tatizo kuwa positive matatizo huja na kuondoka usione kuwa umeonewa amini Mungu hakupi mtihani akakunyima mbinu ya kuepukana nayo muda unaotumia kulia hebu kama muislam swali Lia hapo kwenye mkeka sema na Mungu wako"Eeh Mungu kama hili Lilikuwa jaribu langu nimelipokea n sishindani na mapenziyao basi nipe lililo la kheri niondeshee huu mtihani "

Matatizo hayajawahi kuwa makubwa kwetu Kiasi hiko Huwa yanapita wakat unalia unawaza kujiua fikiria yule Alie mahututi anapimulia mipira lakin bado anaamin atasimama Tena(hajamkosea Mungu ila kapewa jaribu je linafanana na lako?)

Kuna mwingine Yuko mtaani anaomba ana watoto wagonjwa hana chakula hanaa msaada Hana dawa ni binadamu kama wew lakinkapewa mtihani nae
Kuna mwingine kapoteza ndugu na watoto kw aajali muda huu Yuko mazikoni fikria uchungu wake lakn wanalia wananyamza wanashukuru

Jifunze kushukuru kwa yote mema na mabaya magumu na mepesi,hakuna anewezakukuponya Zaid ya nafsi Yako kuamua kukubali hesabu baraka Mungu alizokupa tangu unazaliwa je nyingi kiasi gani kias maumivu hayo yaMungu uone Dunia imekucha naomba niishie hapa
 
NEW girl
Mimi nafikiri achana na kuwaza ukubwa au zuito wa tatizo kuwa positive matatizo huja na kuondoka usione kuwa umeonewa amini Mungu hakupi mtihani akakunyima mbinu ya kuepukana nayo muda unaotumia kulia hebu kama muislam swali Lia hapo kwenye mkeka sema na Mungu wako"Eeh Mungu kama hili Lilikuwa jaribu langu nimelipokea n sishindani na mapenziyao basi nipe lililo la kheri niondeshee huu mtihani "

Matatizo hayajawahi kuwa makubwa kwetu Kiasi hiko Huwa yanapita wakat unalia unawaza kujiua fikiria yule Alie mahututi anapimulia mipira lakin bado anaamin atasimama Tena(hajamkosea Mungu ila kapewa jaribu je linafanana na lako?)

Kuna mwingine Yuko mtaani anaomba ana watoto wagonjwa hana chakula hanaa msaada Hana dawa ni binadamu kama wew lakinkapewa mtihani nae
Kuna mwingine kapoteza ndugu na watoto kw aajali muda huu Yuko mazikoni fikria uchungu wake lakn wanalia wananyamza wanashukuru

Jifunze kushukuru kwa yote mema na mabaya magumu na mepesi,hakuna anewezakukuponya Zaid ya nafsi Yako kuamua kukubali hesabu baraka Mungu alizokupa tangu unazaliwa je nyingi kiasi gani kias maumivu hayo yaMungu uone Dunia imekucha naomba niishie hapa
Nashukuru sana dada yangu
 
Depression inasababishwa na overthinking ya Hilo japo linakuumiza ,zaidi unavyowaza basi depression inakutawala.

Kuna jamaa hapo juu kasema kama maumivu lazima upambane nayo yaani utapata tabu ila utakuja kusahau baadae huko Kwa vile sio rahisi kuepuka.

Wengine nao ni Ile ishu ya kujitenga na jambo husika ili kusahau mapema.

Overthinking sio rahisi sema ,ukipara watu wataalamu wa counseling wanaweza kukupa maneno ya faraja pia kuwa wazi kama hivi ulivyoleta Uzi inasadia sana kupata mawazo..
 
Back
Top Bottom