Njia zipi unaweza kuzitumia kuondoa sonona?

Njia zipi unaweza kuzitumia kuondoa sonona?

Pole sana.
Wengi wamekuwa wanapitia hali hiyo.
Lakini cha kwanza ufahamu tu tatizo ni nini? Pia ujue kwamba kuliwaza sana tatizo sio njia ya kulishughulikia.
Tambua usuluhishi wa suala husika kama hakuna namna achana nalo usiliwaze kabisa. Aidha, kama ni ishu ameisababisha mwingine pengine wewe unasubiri akuombe msamaha, jiwahi wewe ndo usamehe na uendelee na majambo yako.
Maisha ni mafupi sana, na yote yanapita jitahidi usikae kizembe kabisa.
 
Aisee unajua tunasikiaga watu wanajiua tunawaona wajinga sana ila ukweli labda sababu hayajatufikia.

Tuombeane aisee hivi depression inaweza kutoka kwa njia zipi. Unajaribu kulala havilaliki, washa TV huelewi unachoangalia, unaweka mziki unaona kama kelele. Yani vururu vururu nimelia wee usku kucha mpaka macho yamevimba.

No shoulder to cry on, no one to sit pemben yako akakusikiliza na kukufariji.

Nyie aisee tuombeane its hard.
Pole

Tafuta mtu ni vyema kutafuta washauri bahati nzuri Tanzania tuko wengi mueleeze kuna ambao hufanya kwa malipo na kuna ambao ni bure

Tafauta mtu unayemuamini mueleze

Mueleze mtu usiyekufahamu ila umehisi unaweza funguka zaidi kwakwe sikia ushauri wake

Nenda mahali tulivu au beach kaseme yoote yanayokuumiza kisha achilia moyo

Fanya unavyovipenda zaidi

Muhimu jua amani yako iko ndani yako.

Kama unapenda kusoma vitabu. Naweza kupatia kadhaaa ukajijenga
 
Labda uelezeee tatizo au matatizo yanayokukabili tujue jinsi ya kukushauri accordingly.

Haiwezekani kukupatia general advise.

It should be specific and tailored.
 
1.Kujua chanzo cha tatizo/sonona inayokukabili
2. Aina ya sonona unayokabiliana nayo. Je, ni ya muda mfupi, muda wa kati? Au ni ya kudumu?
3. Kubaini kama chanzo cha sonona kinaweza kuepukika, kutatuliwa kwa njia za muda mfupi au muda mrefu au inahitajika kukubaliana na hali halisi ya sonona husika. Mfano kama chanzo ni kufiwa na mtu wa karibu sana inabidi kufanyike jitihada kwa muhusika kukubaliana na hali na kuyapokea mapenzi yaMungu.
3. Kuandaa mikakati ya kuondokana na sonona husika. Hapa unaweza kuweka ya muda mfupi, wa kati na mrefu.
4. Kuchukua hatua madhubuti dhidi ya sonona husika.
5. Kama hutaweza kutatua mwenyewe, kuwashirikisha watu unaowaamini inaweza ikawa njia ya kuelekea uponyaji. Mfano: Viongozi wa Kiroho, viongozi wa kimila, au watu wenye busarana utaalamu juu ya sonona inayokukabili
 
Aisee unajua tunasikiaga watu wanajiua tunawaona wajinga sana ila ukweli labda sababu hayajatufikia.

Tuombeane aisee hivi depression inaweza kutoka kwa njia zipi. Unajaribu kulala havilaliki, washa TV huelewi unachoangalia, unaweka mziki unaona kama kelele. Yani vururu vururu nimelia wee usku kucha mpaka macho yamevimba.

No shoulder to cry on, no one to sit pemben yako akakusikiliza na kukufariji.

Nyie aisee tuombeane its hard.
Pole sana ndugu,Mungu akusaidie
 
Aisee unajua tunasikiaga watu wanajiua tunawaona wajinga sana ila ukweli labda sababu hayajatufikia.

Tuombeane aisee hivi depression inaweza kutoka kwa njia zipi. Unajaribu kulala havilaliki, washa TV huelewi unachoangalia, unaweka mziki unaona kama kelele. Yani vururu vururu nimelia wee usku kucha mpaka macho yamevimba.

No shoulder to cry on, no one to sit pemben yako akakusikiliza na kukufariji.

Nyie aisee tuombeane its hard.
Unaishi wapi mkuu ?
Naweza kukusaidia..
Kama hutojali tuonane
 
Tatizo laweza kuleta madhara kwa 10% tu lakini madhara 90% hutegemea na mwitikio wa mtu juu ya tatizo hilo.

A problem can harm only 10% the 90% depend on how you react over it (situations/problem).
 
Aisee unajua tunasikiaga watu wanajiua tunawaona wajinga sana ila ukweli labda sababu hayajatufikia.

Tuombeane aisee hivi depression inaweza kutoka kwa njia zipi. Unajaribu kulala havilaliki, washa TV huelewi unachoangalia, unaweka mziki unaona kama kelele. Yani vururu vururu nimelia wee usku kucha mpaka macho yamevimba.

No shoulder to cry on, no one to sit pemben yako akakusikiliza na kukufariji.

Nyie aisee tuombeane its hard.
Let me be your friend, I can try somehow to comfort you.
But you have to put faith on
 
Nmeongea na simu kibao. Nnachopokea ni pole tu. Hamna hata anayesema uko wapi tuongee najieleza wee then pole yatapita basi
Like, how? unahitaji mtu wa kukufariji mpaka uwe naye karibu,mpate conversation za face to face
 
Huna depression, kuna vitu tu havijakaa sawa unaviwaza sana ila sio depression, depression ni kitu kizito sana tusichanganye stress na depression....

Acha kujifungia ndani toka nenda hata beach kabarizi, anza kufanya mazoezi itakusaidia kwenye kuuchosha mwili na kupata usingizi mzuri, nunua diary andika kila kitu ambacho unahisi hakipo sawa na hata kilicho sawa, andika magumu na matamu yako, ikijaa nunua nyingine na nyingine fanya kama diary ndie rafiki yako wa kumwambia vitu, siku ukipata muda unapitia kusoma unapoona hapafai tena unaweza kuchana, hiyo ina maanisha umeufunga huo ukurasa na upo tayari kuanza upya,

Kama mahusiano yanachangia wewe kua na stress basi achana na huyo mtu, jali furaha yako, na kama ni familia jiweke mbali kwa muda tafuta furaha yako mwenyewe usitegemee watu, jifunze kuignore vitu kua positive always, usiweke mafundo moyoni hapo unakaribisha unyonge, kama huna mtoto tafuta pet uishi nae awe cat, dog, bird, etc itakufanya uwe responsible na hao viumbe wana kampan nzuri sana,

Mabadiliko huanzia kwako, tanguliza furaha yako mbele kuliko chochote, wewe ni wa thamani usikubali mtu akwambie otherwise,

Hugs 🫂 & Good luck 🤍🤍
Safi.
 
Binadamu tumeumbwa kwa mfano wa mpira, sometimes mpira ukijaa sana unapasuka hivyo ndio tulivyo sasa ili usipasuke inabidi upate pa kupumulia ili kupunguza hewa iliyopo ndani ya mpira nazungumzia depression,

Sasa unapokosa mtu wa karibu wa kumwambia Mambo yako ya ndani yanayokusibu au hata ukashindwa kushea na jamii kwa hofu kwamba jamii itakuonaje it means upepo unaendelea kubaki ndani na unaendelea kuongezeka na unahisi kupasuka

Ila ukipata mtu wa kumwelezea situation yako, ukapunguza upepo na akakupa nafuu ya mlango wa kutokea kwamba hapa fanya hivi na hapa itakua hivi angalau unapata nafuu ya ndani, hapo mpira unarudi katika hali ya kawaida na depression inaacha ku-exist you're happy now it's all about happiness & sadness
✍️
Una madini sana kaka, Mimi Sonoma yangu ni tamisemi kunipanga kigoma aisee.
 
Back
Top Bottom