Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 5,487
- 4,817
Pole sana.
Wengi wamekuwa wanapitia hali hiyo.
Lakini cha kwanza ufahamu tu tatizo ni nini? Pia ujue kwamba kuliwaza sana tatizo sio njia ya kulishughulikia.
Tambua usuluhishi wa suala husika kama hakuna namna achana nalo usiliwaze kabisa. Aidha, kama ni ishu ameisababisha mwingine pengine wewe unasubiri akuombe msamaha, jiwahi wewe ndo usamehe na uendelee na majambo yako.
Maisha ni mafupi sana, na yote yanapita jitahidi usikae kizembe kabisa.
Wengi wamekuwa wanapitia hali hiyo.
Lakini cha kwanza ufahamu tu tatizo ni nini? Pia ujue kwamba kuliwaza sana tatizo sio njia ya kulishughulikia.
Tambua usuluhishi wa suala husika kama hakuna namna achana nalo usiliwaze kabisa. Aidha, kama ni ishu ameisababisha mwingine pengine wewe unasubiri akuombe msamaha, jiwahi wewe ndo usamehe na uendelee na majambo yako.
Maisha ni mafupi sana, na yote yanapita jitahidi usikae kizembe kabisa.