Njia zipi unaweza kuzitumia kuondoa sonona?

Msongo means ubongo kuwa bize kuchakata taarifa fulani njia rahisi ni kuounguza kazi ya ubongo na kuudanyanya kambwa Hilo jambo sio lamuhimu tena au huna abari nai kioindi una udanganya (reflesh) unaweza jitahidi kusolve Hilo tatizo physical au Kama halisoviki kuwa humbe nalo

Njia hizi kadhaa zinafaa ku-reflesh ubongo ukawa mwepesi tena

1)Kuingea na mtu kumudithia kilakitu, ongea sawa na kuutoa mzigounaweza nicheki kwa hilo ukipenda ni PM nitakuwa audience wako for your health

2)Nenda Tour nakushauri DSM Zoo na mtu mfano mpenzi akiwa huna nicheki am this time

3)Massage, aise Kama unapesa nenda massage na tena mwambie ninamsongo ukifanyia massage misuri inanyinya mizigo iliyo akilini

4)Chezewa nyele na kuparazwa kichwa na mpenzi wako inaounguza mizigo akilini Kama huna wa kukuoaraza nicheki am free

5)Kumbatiana na mpenzi wako kitandani muda mrefu hata upate usingizi kabisa lazima kichwa kita reflesh also Kama huna wakukumbatia nicheki I will do it for your health
 
Good gal!
 
kama muislam nenda sana msikitini,kama ni mkristo tafuta kanisa la kiroho lililo karibu na kwako,then,jishikile pale kwelikweli,nenda mikesha ya usiku,jumapili shinda huko utaona faida yake,kwani kwenye mikesha unaomba mpaka unalia,,na utaanza kumpenda MUNGU kuliko icho kinachokutesa,,,,uwezi amini baada ya muda mrefu kidogo utapona kabisa!!!tofauti na ivo unaweza ukajiua kweli
 
Ndugu zangu tujue kutofautisha kati ya Upwiru na Depression ,tusichanganye mambo maana wengi wana Upwiru wanasingizia SononaπŸ˜…πŸ˜…
πŸ˜ƒπŸ€£πŸ€£πŸ™ŒπŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…