Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe nae ni kiazi umeshawai ona nimehitaji msaada JF mm ebu kafue chupi yako alafu uvae pedi yako ulale uko....Hata ningekuwa mimi ningejibu kama wewe ulivyojibu hapo...ningemsingizia mtu wa karibu ule uzi,huu wa leo ndo ungekuwa wangu
Kimsingi watu wachache kama nyie ndio mnafanya wengi wanaohitaji msaada kweli humu JF kupuuzwa wakianzisha nyuzi zao za kuhitaji msaada
Tafuta pesa mkuu ama kama ni mwanafunzi soma
Mwanaume hutakiwi kutafuta attentions zisizo za msingi kama hizi
Shukrani dada anguSisi wanawake tunashida moja watoto wakikua wakapata kazi tunaanza kuwalisha sumu kua baba zao (hata kama ni baba mzazi) wanatutesa/walitutesa.
Maneno kama haya apewe kijana wako ambae anajua wew sio biological father ndio anakuchukia mara mbili . Pole sana . Hapo deal na mkeo akueleze ana tatizo gani na wewe.
Umeitunga vibaya stori yako haina mantiki ndiyo maana ina maswali.Kama ujui kitu mkuu kaa kimya tuu...
Safi vzr sana..Hesabu kidogo: una miaka 39 now, bila Shaka umezaliwa mwaka 1983, uliajiliwa mwaka 2000, ukiwa na miaka 17 tu??
Utasitaafu mwaka 2045, hyo ni miaka 23 ijayo, chukua miaka 39 uliyonayo + na 23 iliyobaki kusitaafu =59, tafta kazi yake endapo atasitaafu na miaka 59?, tukijua kazi yake nitampa ushauri
[emoji38][emoji38]sawa mkuuHopeless kabisa ww...