Njiapanda: Mtoto wa mke wangu niliyemlea tangu ana miaka 2 ameenda kutoa mahari bila kunishirikisha

Haina ile mkuu....
Naona una wife mbili, ii ya watoto sita plus mmoja ...na ile ingine ya mtu tano(sjui kama alikuja kukupa kachumbari ukatia muhogo baadae). Heshima yako mkuu.
Hahahaha ile stori ya jamaa angu...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vijana wanatutengenezea matukio hawajui humu JF kuna forensic readers kama wewe..... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ya jamaa angu.
 
Wewe nae ni kiazi umeshawai ona nimehitaji msaada JF mm ebu kafue chupi yako alafu uvae pedi yako ulale uko....
 
Shukrani dada angu
 
Safi vzr sana..
 
Hongera kwa kuwa na watoto 6 wa kuzaa japo kuna uwezekano mkubwa wa kuwa mko wababa wengi.

Tuliza akili, fanya kazi zako huko huko uliko uone what's next.
Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…