Njiapanda: Mtoto wa mke wangu niliyemlea tangu ana miaka 2 ameenda kutoa mahari bila kunishirikisha

Njiapanda: Mtoto wa mke wangu niliyemlea tangu ana miaka 2 ameenda kutoa mahari bila kunishirikisha

Hapa ndipo unaposikiaga baba kaua mama na mwanaye wa kufikia.

Anachofanya mkeo ni ushenzi wa grade A.

Huenda kijana hana kosa ni msukumo wa mama yake tu.

Bahati nzuri wewe ni mjeshi, na huyo mwanao ni mjeshi, bado una nafasi ya kumkanya huyo step son wako iwe kama baba ama kama senior wake.

Akileta jeuri ongea na wakubwa zake wampige chini. Asilete dharau hapa, eboooh!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti Eboooh
 
Kutoka 2002 mpaka 2022 ni miaka mingapi??Jumlisha miaka miwili ya dogo, atakuwa na umri gani??? Acha kukurupuka!!!
Habari za miaka achana nazo toa ushauri kwa mwenzio
 
Sawa inawezekana ikawa hivyo lakini stori yako imejaa chumvi

Huyu mke uliyemuoa 2013 anakubania papuchi ni mke huyu wa uzi wa leo ama ni mke wa pili?


Kumekuchaaaaaaaaa!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tenda wema uende zako..pole sana
 
Namawazo haya haya kinaniuma sijui niondoke nisirudi tena home mana uwezo ninao nijenge tuu uku uku Arusha nifanye maisha yangu kule nisirudi tena ila nawaza watoto wangu dah kinaniuma iko acha...
Mkeo amewasha taa nyekundu tayari, chukua tahadhari mapema. Maana kama wamekuficha suala kama hilo wazia ni mangapi wamekuficha? Anza kujenga assets zako na wewe mapema kama tahadhari.
 
Pole kaka. Pole tena. Nikuambie maneno machache ila yenye maana sana kwako.
"Upaswi kuendelea kuumia, watoto wa kufikia si watoto wa kuwategemea kaka. Mkeo ndiye mwenyekosa. Daima usimuamini mtu yeyote katika kufikiri na kutenda kama upendavyo. Ukiendekeza kuwaza utakufa utawaacha watoto wako."
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti Eboooh
Asikuambie mtu ukifanyiwa hivi at that age iko very stressful, usipokuwa firm unakufa mapema sana.

Na akae chonjo maana wakiona ana kidomodomo sana wanaweza fanya chochote, wanawake sometimes ni watu hatari sana.
 
Namawazo haya haya kinaniuma sijui niondoke nisirudi tena home mana uwezo ninao nijenge tuu uku uku Arusha nifanye maisha yangu kule nisirudi tena ila nawaza watoto wangu dah kinaniuma iko acha...
Kama hiyo mkeo sio mfanyakazi Anza mipango ya kuua hizo project mlizoanzisha zinazompatia pesa yaani kiufupi anzisha vikwazo vya kiuchumi hivyo ataanza mtegemea mwanae mwanae majukumu yatamzidi watagombana maana mama atageuka mzigo
 
Mkuu we nimtu kazi auvip mzee wangu..sasa cha kufanya nenda mpanda mroge huyo mtoto awe kichaa halafu wakati mkeo amechanganyikiwa na homa ya mtoto,tumia nafasi hiyo kujua hyo nyumba kajenga wapi.

Then mroge nayeye wafanye ndondcha then utakufa kwa amani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kumbe kuna wachawi humu aisee[emoji1487][emoji1487][emoji1487]
 
Sawa inawezekana ikawa hivyo lakini stori yako imejaa chumvi

Huyu mke uliyemuoa 2013 anakubania papuchi ni mke huyu wa uzi wa leo ama ni mke wa pili?


Dah we jamaa kumbe unatunza kumbukumbu balaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Una miaka 39 sawa ila unastaafu 2045, huoni utakuwa na miaka 62!?? Hii ni chai!!!
 
Habari wana jamvi!

Natumaini ni wazima wa afya, ni hivi niende kwenye mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri was miaka 39, nina mke na watoto 6 ila mke wangu nilimkuta akiwa na mtoto wa kiume wakati tunaoana mwaka 2002, jumla ukijumlisha tuna watoto 7 kiukweli huyo kijana mtoto wa mke wangu my step son nimemtafutia kazi Serikalini now anafanya kazi vizuri, alipata kazi mwaka juzi akiwa na miaka 19 tu huyu kijana nimemlea mimi tokea akiwa mdogo maana nilianza kuishi na mama yake dogo akiwa na miaka 2.

Kwanini nimekuja kwenu leo mke wangu anajua simuelewi, amekuwa msiri sana na huyu kijana wake wanafanya vitu vya siri siri sishirikishwi kwa chochote nikiwa kama mzazi kuna siku kijana kamfata mama ake waende wakanunue eneo mimi sijaambiwa sikumaind maana ni jambo la kawaida tuu kubwa kuliko ni kijana kaenda kuoa katoa mpaka mahari lakini kijana mimi hajaniambia kama baba yake ambae nimemlea tokea mdogo mpaka kazi mimi ndio nimemtafutia lakini hanishirikishi kwenye jambo la kuoa nilipochoka wametoa mpaka mahari lakini taarifa sijapewa ni hivi mimi niko nao mbali, mimi niko mkoa Arusha kikazi saizi wife na familia wapo Pwani, Kibaha kijana wangu kazi anafanyia Morogoro huyo stepson wangu kiukweli hiki kitu kimeniuma sana.

Nikifikiria huyu mke wangu tulikuwa tunapendana sana na tumetoka mbali sana tokea kipindi iko tunaishi Iringa nilimkuta akiwa dada wa kazi za ndani ana mtoto mimi nikiwa msaidizi pia kaka wa kazi za ndani ila tukapendana hivyo hivyo Mungu akanisaidia nikapata ajira mwaka 2000, 2002 tukaoana tukiwa wadogo sana tena nilimuoa hata ile ruksa ya mimi kupata kutoka kazini sikupata ruksa ya kuoa lakini nilimuoa hivyo hivyo mpaka leo tuna watoto 7 ukijumlisha na wake lakini leo kijana wake mambo yanakuwa, mazuri wanaanza nitenga nashindwa elewa nimewakosea nini maana mimi huwa sishindi nyumbani naweza nikakaa miezi hata mi3 sijarudi home hii yote kutokana na nature ya kazi yangu ambayo kijana wangu my step son amenirithi kiukweli naumia sana.

Yani tunaelekea uzeeni wife ndo ananza nificha hivi mke wangu alikuwa na tabia nzuri tuu nashindwa elewa izi tabia kazitoa wapi za kunificha sijawai mfumania ajawai nifumania sina mtoto wa njee sina mwanamke njee japo nilishawai kuwa mchepuko nilipigaga mara mbili tatu onetime nikatemana nae lkn mke wangu hakujua sasa nashindwa kuelewa why wife amebadilika hivi?

Kitu kingine kijana huyu nikimpigia cm apokei au akipokea hana story na mimi kama zamani kiukweli hiki kitu kina nitesa sana yani natamani hata nistaf mapema ili niwe karibu na wife lkn mm kustaaf bado mpaka mwaka 2045.

Kiukweki sina furaha natamani nirudi nikakae karibu na familia yangu sijawai fikiria kama mapenzi yatanitesa hivi jinsi mm na wife tulivyopendana sijui nimemkosea wapi mpaka amenitenga ananificha baadhi ya vitu yeye na kijana wake.

Kitu kingine naskia wife anajenga uko MBANDE lkn ajaniambia hii sina uhakika mana nipo mbali nae ukiangalia kama miradi mingi mm na wife tumeshirikiana ifanya na iko hatua nzuri kiukweli nataka nichukue leave ya mwezi mzima nikakae home nitulize akili mana wife simuelewi anashida gani kwann ananificha ficha vitu vyake sikuizi.
Mapenzi yamliza Afande sele
 
Habari wana jamvi!

Natumaini ni wazima wa afya, ni hivi niende kwenye mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri was miaka 39, nina mke na watoto 6 ila mke wangu nilimkuta akiwa na mtoto wa kiume wakati tunaoana mwaka 2002, jumla ukijumlisha tuna watoto 7 kiukweli huyo kijana mtoto wa mke wangu my step son nimemtafutia kazi Serikalini now anafanya kazi vizuri, alipata kazi mwaka juzi akiwa na miaka 19 tu huyu kijana nimemlea mimi tokea akiwa mdogo maana nilianza kuishi na mama yake dogo akiwa na miaka 2.

Kwanini nimekuja kwenu leo mke wangu anajua simuelewi, amekuwa msiri sana na huyu kijana wake wanafanya vitu vya siri siri sishirikishwi kwa chochote nikiwa kama mzazi kuna siku kijana kamfata mama ake waende wakanunue eneo mimi sijaambiwa sikumaind maana ni jambo la kawaida tuu kubwa kuliko ni kijana kaenda kuoa katoa mpaka mahari lakini kijana mimi hajaniambia kama baba yake ambae nimemlea tokea mdogo mpaka kazi mimi ndio nimemtafutia lakini hanishirikishi kwenye jambo la kuoa nilipochoka wametoa mpaka mahari lakini taarifa sijapewa ni hivi mimi niko nao mbali, mimi niko mkoa Arusha kikazi saizi wife na familia wapo Pwani, Kibaha kijana wangu kazi anafanyia Morogoro huyo stepson wangu kiukweli hiki kitu kimeniuma sana.

Nikifikiria huyu mke wangu tulikuwa tunapendana sana na tumetoka mbali sana tokea kipindi iko tunaishi Iringa nilimkuta akiwa dada wa kazi za ndani ana mtoto mimi nikiwa msaidizi pia kaka wa kazi za ndani ila tukapendana hivyo hivyo Mungu akanisaidia nikapata ajira mwaka 2000, 2002 tukaoana tukiwa wadogo sana tena nilimuoa hata ile ruksa ya mimi kupata kutoka kazini sikupata ruksa ya kuoa lakini nilimuoa hivyo hivyo mpaka leo tuna watoto 7 ukijumlisha na wake lakini leo kijana wake mambo yanakuwa, mazuri wanaanza nitenga nashindwa elewa nimewakosea nini maana mimi huwa sishindi nyumbani naweza nikakaa miezi hata mi3 sijarudi home hii yote kutokana na nature ya kazi yangu ambayo kijana wangu my step son amenirithi kiukweli naumia sana.

Yani tunaelekea uzeeni wife ndo ananza nificha hivi mke wangu alikuwa na tabia nzuri tuu nashindwa elewa izi tabia kazitoa wapi za kunificha sijawai mfumania ajawai nifumania sina mtoto wa njee sina mwanamke njee japo nilishawai kuwa mchepuko nilipigaga mara mbili tatu onetime nikatemana nae lkn mke wangu hakujua sasa nashindwa kuelewa why wife amebadilika hivi?

Kitu kingine kijana huyu nikimpigia cm apokei au akipokea hana story na mimi kama zamani kiukweli hiki kitu kina nitesa sana yani natamani hata nistaf mapema ili niwe karibu na wife lkn mm kustaaf bado mpaka mwaka 2045.

Kiukweki sina furaha natamani nirudi nikakae karibu na familia yangu sijawai fikiria kama mapenzi yatanitesa hivi jinsi mm na wife tulivyopendana sijui nimemkosea wapi mpaka amenitenga ananificha baadhi ya vitu yeye na kijana wake.

Kitu kingine naskia wife anajenga uko MBANDE lkn ajaniambia hii sina uhakika mana nipo mbali nae ukiangalia kama miradi mingi mm na wife tumeshirikiana ifanya na iko hatua nzuri kiukweli nataka nichukue leave ya mwezi mzima nikakae home nitulize akili mana wife simuelewi anashida gani kwann ananificha ficha vitu vyake sikuizi.
Ok bro kaa na mkeo umweleze hoja zako zote bila kumficha,baada ya hapo tafuta njia uongee na huyo step son wako ili ujue ni kwanini anafanya hivyo labda kuna kitu wewe hukijui
 
Back
Top Bottom