Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa! Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu!!Sawa inawezekana ikawa hivyo lakini stori yako imejaa chumvi
Huyu mke uliyemuoa 2013 anakubania papuchi ni mke huyu wa uzi wa leo ama ni mke wa pili?
Mke wangu ananibania tendo la ndoa
Wakuu habari zenu, kwema, wazima humu! Ngoja twende kwenye mada. Ni hivi nina mke nimeoa tangia mwaka 2013 tumebatika kupata watoto 4 wa kiume 3 wa kike 1. Wakuu kabla sijamuoa mke wangu kipindi hicho tulivyokutana miaka ya 2007 tupo kwenye uchumba tulikuwa tuna fanya sana mapenzi, alikuwa...www.jamiiforums.com
Hiyo sawaSo masingle mother waoane na masingle father
Hivi unadhani kupigwa chini ni kirahisi hivyo kama unavyofikiria?Hapa ndipo unaposikiaga baba kaua mama na mwanaye wa kufikia.
Anachofanya mkeo ni ushenzi wa grade A.
Huenda kijana hana kosa ni msukumo wa mama yake tu.
Bahati nzuri wewe ni mjeshi, na huyo mwanao ni mjeshi, bado una nafasi ya kumkanya huyo step son wako iwe kama baba ama kama senior wake.
Akileta jeuri ongea na wakubwa zake wampige chini. Asilete dharau hapa, eboooh!
Nimejifunza kitu hapaHata ningekuwa mimi ningejibu kama wewe ulivyojibu hapo...ningemsingizia mtu wa karibu ule uzi,huu wa leo ndo ungekuwa wangu
Kimsingi watu wachache kama nyie ndio mnafanya wengi wanaohitaji msaada kweli humu JF kupuuzwa wakianzisha nyuzi zao za kuhitaji msaada
Tafuta pesa mkuu ama kama ni mwanafunzi soma
Mwanaume hutakiwi kutafuta attentions zisizo za msingi kama hizi
Umejifunza nini mkuu ili na mie nijifunze(japo nimeandika mimi hayo maneno)Nimejifunza kitu hapa
Nimejifunza mambo matatuUmejifunza nini mkuu ili na mie nijifunze(japo nimeandika mimi hayo maneno)
HawaponziKwan ambao sio single maza hawatakuponza ???
Nani kakuambia talaka inatolewa na kanisa. Ndoa zinavunjwa kila kukichaTatizo ndoa ya kanisani sisi hatuna taraka mkuu
UkatiliIngewezekana ukamharibia dogo ajira yake itakuwa poa sana japo najua ni ngumu, ila ukitumia umafia inawezekana, mpandikizie nadawa ya kulevya au silaha nyumbani kwake, kwa kutumia mafia afukuzwe kazi akili zitawakaa sawa.
Pole mwamba.Habari wana jamvi!
Natumaini ni wazima wa afya, ni hivi niende kwenye mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri was miaka 39, nina
Anza kuishi kama mwanaume kuanzia unapousoma huu uzi.Habari wana jamvi!
Natumaini ni wazima wa afya, ni hivi niende kwenye mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri was miaka 39, nina mke na watoto 6 ila mke wangu nilimkuta akiwa na mtoto wa kiume wakati tunaoana mwaka 2002, jumla ukijumlisha tuna watoto 7 kiukweli huyo kijana mtoto wa mke wangu my step son nimemtafutia kazi Serikalini now anafanya kazi vizuri, alipata
Pole sana kaka huo Ndo ukubwa,kibaya zaidi Hawa wenzetu huwa hawasomeki ata ufanyeje,Cha msingi mshukuru mungu wewe ni mzima Ila kuwa na hekima na pia taadhari maana bado kijana mkifika uzeeni unaweza jikuta mwenyewe ata mfaliji ukakoswa kumbuka watoto ni wa mama asilimia Mia na wanawasikiliza kuliko sisi wanaume.Habari wana jamvi!
Natumaini ni wazima wa afya, ni hivi niende kwenye mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri was miaka 39, nina