Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,781
- 3,591
Hivi vitu unaposoma lazma uwe open minded sana.Naiona kama Chai.... Unasema una miaka 39 iweje ustafu mwaka 2045? Kazi gani hiyo ambayo utastafu na miaka 63?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti EbooohHapa ndipo unaposikiaga baba kaua mama na mwanaye wa kufikia.
Anachofanya mkeo ni ushenzi wa grade A.
Huenda kijana hana kosa ni msukumo wa mama yake tu.
Bahati nzuri wewe ni mjeshi, na huyo mwanao ni mjeshi, bado una nafasi ya kumkanya huyo step son wako iwe kama baba ama kama senior wake.
Akileta jeuri ongea na wakubwa zake wampige chini. Asilete dharau hapa, eboooh!
Habari za miaka achana nazo toa ushauri kwa mwenzioKutoka 2002 mpaka 2022 ni miaka mingapi??Jumlisha miaka miwili ya dogo, atakuwa na umri gani??? Acha kukurupuka!!!
Kumekuchaaaaaaaaa!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sawa inawezekana ikawa hivyo lakini stori yako imejaa chumvi
Huyu mke uliyemuoa 2013 anakubania papuchi ni mke huyu wa uzi wa leo ama ni mke wa pili?
Mke wangu ananibania tendo la ndoa
Wakuu habari zenu, kwema, wazima humu! Ngoja twende kwenye mada. Ni hivi nina mke nimeoa tangia mwaka 2013 tumebatika kupata watoto 4 wa kiume 3 wa kike 1. Wakuu kabla sijamuoa mke wangu kipindi hicho tulivyokutana miaka ya 2007 tupo kwenye uchumba tulikuwa tuna fanya sana mapenzi, alikuwa...www.jamiiforums.com
Mkeo amewasha taa nyekundu tayari, chukua tahadhari mapema. Maana kama wamekuficha suala kama hilo wazia ni mangapi wamekuficha? Anza kujenga assets zako na wewe mapema kama tahadhari.Namawazo haya haya kinaniuma sijui niondoke nisirudi tena home mana uwezo ninao nijenge tuu uku uku Arusha nifanye maisha yangu kule nisirudi tena ila nawaza watoto wangu dah kinaniuma iko acha...
Toa ushaur,acha kupiga kelele tuKumekuchaaaaaaaaa!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sina ushauriToa ushaur,acha kupiga kelele tu
Asikuambie mtu ukifanyiwa hivi at that age iko very stressful, usipokuwa firm unakufa mapema sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti Eboooh
Kama hiyo mkeo sio mfanyakazi Anza mipango ya kuua hizo project mlizoanzisha zinazompatia pesa yaani kiufupi anzisha vikwazo vya kiuchumi hivyo ataanza mtegemea mwanae mwanae majukumu yatamzidi watagombana maana mama atageuka mzigoNamawazo haya haya kinaniuma sijui niondoke nisirudi tena home mana uwezo ninao nijenge tuu uku uku Arusha nifanye maisha yangu kule nisirudi tena ila nawaza watoto wangu dah kinaniuma iko acha...
Kaa kimya sasaSina ushauri
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kumbe kuna wachawi humu aisee[emoji1487][emoji1487][emoji1487]Mkuu we nimtu kazi auvip mzee wangu..sasa cha kufanya nenda mpanda mroge huyo mtoto awe kichaa halafu wakati mkeo amechanganyikiwa na homa ya mtoto,tumia nafasi hiyo kujua hyo nyumba kajenga wapi.
Then mroge nayeye wafanye ndondcha then utakufa kwa amani.
Dah we jamaa kumbe unatunza kumbukumbu balaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sawa inawezekana ikawa hivyo lakini stori yako imejaa chumvi
Huyu mke uliyemuoa 2013 anakubania papuchi ni mke huyu wa uzi wa leo ama ni mke wa pili?
Mke wangu ananibania tendo la ndoa
Wakuu habari zenu, kwema, wazima humu! Ngoja twende kwenye mada. Ni hivi nina mke nimeoa tangia mwaka 2013 tumebatika kupata watoto 4 wa kiume 3 wa kike 1. Wakuu kabla sijamuoa mke wangu kipindi hicho tulivyokutana miaka ya 2007 tupo kwenye uchumba tulikuwa tuna fanya sana mapenzi, alikuwa...www.jamiiforums.com
Kumbe wanakufahamu ni mwanajeshi, anyway kwani mkeo alikwambia kaachana na huyo mzazi mwenzake? Ebu angalia hao watoto hawafanani na huyo stepson?Nzuri iyo safi.
Mapenzi yamliza Afande seleHabari wana jamvi!
Natumaini ni wazima wa afya, ni hivi niende kwenye mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri was miaka 39, nina mke na watoto 6 ila mke wangu nilimkuta akiwa na mtoto wa kiume wakati tunaoana mwaka 2002, jumla ukijumlisha tuna watoto 7 kiukweli huyo kijana mtoto wa mke wangu my step son nimemtafutia kazi Serikalini now anafanya kazi vizuri, alipata kazi mwaka juzi akiwa na miaka 19 tu huyu kijana nimemlea mimi tokea akiwa mdogo maana nilianza kuishi na mama yake dogo akiwa na miaka 2.
Kwanini nimekuja kwenu leo mke wangu anajua simuelewi, amekuwa msiri sana na huyu kijana wake wanafanya vitu vya siri siri sishirikishwi kwa chochote nikiwa kama mzazi kuna siku kijana kamfata mama ake waende wakanunue eneo mimi sijaambiwa sikumaind maana ni jambo la kawaida tuu kubwa kuliko ni kijana kaenda kuoa katoa mpaka mahari lakini kijana mimi hajaniambia kama baba yake ambae nimemlea tokea mdogo mpaka kazi mimi ndio nimemtafutia lakini hanishirikishi kwenye jambo la kuoa nilipochoka wametoa mpaka mahari lakini taarifa sijapewa ni hivi mimi niko nao mbali, mimi niko mkoa Arusha kikazi saizi wife na familia wapo Pwani, Kibaha kijana wangu kazi anafanyia Morogoro huyo stepson wangu kiukweli hiki kitu kimeniuma sana.
Nikifikiria huyu mke wangu tulikuwa tunapendana sana na tumetoka mbali sana tokea kipindi iko tunaishi Iringa nilimkuta akiwa dada wa kazi za ndani ana mtoto mimi nikiwa msaidizi pia kaka wa kazi za ndani ila tukapendana hivyo hivyo Mungu akanisaidia nikapata ajira mwaka 2000, 2002 tukaoana tukiwa wadogo sana tena nilimuoa hata ile ruksa ya mimi kupata kutoka kazini sikupata ruksa ya kuoa lakini nilimuoa hivyo hivyo mpaka leo tuna watoto 7 ukijumlisha na wake lakini leo kijana wake mambo yanakuwa, mazuri wanaanza nitenga nashindwa elewa nimewakosea nini maana mimi huwa sishindi nyumbani naweza nikakaa miezi hata mi3 sijarudi home hii yote kutokana na nature ya kazi yangu ambayo kijana wangu my step son amenirithi kiukweli naumia sana.
Yani tunaelekea uzeeni wife ndo ananza nificha hivi mke wangu alikuwa na tabia nzuri tuu nashindwa elewa izi tabia kazitoa wapi za kunificha sijawai mfumania ajawai nifumania sina mtoto wa njee sina mwanamke njee japo nilishawai kuwa mchepuko nilipigaga mara mbili tatu onetime nikatemana nae lkn mke wangu hakujua sasa nashindwa kuelewa why wife amebadilika hivi?
Kitu kingine kijana huyu nikimpigia cm apokei au akipokea hana story na mimi kama zamani kiukweli hiki kitu kina nitesa sana yani natamani hata nistaf mapema ili niwe karibu na wife lkn mm kustaaf bado mpaka mwaka 2045.
Kiukweki sina furaha natamani nirudi nikakae karibu na familia yangu sijawai fikiria kama mapenzi yatanitesa hivi jinsi mm na wife tulivyopendana sijui nimemkosea wapi mpaka amenitenga ananificha baadhi ya vitu yeye na kijana wake.
Kitu kingine naskia wife anajenga uko MBANDE lkn ajaniambia hii sina uhakika mana nipo mbali nae ukiangalia kama miradi mingi mm na wife tumeshirikiana ifanya na iko hatua nzuri kiukweli nataka nichukue leave ya mwezi mzima nikakae home nitulize akili mana wife simuelewi anashida gani kwann ananificha ficha vitu vyake sikuizi.
Ok bro kaa na mkeo umweleze hoja zako zote bila kumficha,baada ya hapo tafuta njia uongee na huyo step son wako ili ujue ni kwanini anafanya hivyo labda kuna kitu wewe hukijuiHabari wana jamvi!
Natumaini ni wazima wa afya, ni hivi niende kwenye mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri was miaka 39, nina mke na watoto 6 ila mke wangu nilimkuta akiwa na mtoto wa kiume wakati tunaoana mwaka 2002, jumla ukijumlisha tuna watoto 7 kiukweli huyo kijana mtoto wa mke wangu my step son nimemtafutia kazi Serikalini now anafanya kazi vizuri, alipata kazi mwaka juzi akiwa na miaka 19 tu huyu kijana nimemlea mimi tokea akiwa mdogo maana nilianza kuishi na mama yake dogo akiwa na miaka 2.
Kwanini nimekuja kwenu leo mke wangu anajua simuelewi, amekuwa msiri sana na huyu kijana wake wanafanya vitu vya siri siri sishirikishwi kwa chochote nikiwa kama mzazi kuna siku kijana kamfata mama ake waende wakanunue eneo mimi sijaambiwa sikumaind maana ni jambo la kawaida tuu kubwa kuliko ni kijana kaenda kuoa katoa mpaka mahari lakini kijana mimi hajaniambia kama baba yake ambae nimemlea tokea mdogo mpaka kazi mimi ndio nimemtafutia lakini hanishirikishi kwenye jambo la kuoa nilipochoka wametoa mpaka mahari lakini taarifa sijapewa ni hivi mimi niko nao mbali, mimi niko mkoa Arusha kikazi saizi wife na familia wapo Pwani, Kibaha kijana wangu kazi anafanyia Morogoro huyo stepson wangu kiukweli hiki kitu kimeniuma sana.
Nikifikiria huyu mke wangu tulikuwa tunapendana sana na tumetoka mbali sana tokea kipindi iko tunaishi Iringa nilimkuta akiwa dada wa kazi za ndani ana mtoto mimi nikiwa msaidizi pia kaka wa kazi za ndani ila tukapendana hivyo hivyo Mungu akanisaidia nikapata ajira mwaka 2000, 2002 tukaoana tukiwa wadogo sana tena nilimuoa hata ile ruksa ya mimi kupata kutoka kazini sikupata ruksa ya kuoa lakini nilimuoa hivyo hivyo mpaka leo tuna watoto 7 ukijumlisha na wake lakini leo kijana wake mambo yanakuwa, mazuri wanaanza nitenga nashindwa elewa nimewakosea nini maana mimi huwa sishindi nyumbani naweza nikakaa miezi hata mi3 sijarudi home hii yote kutokana na nature ya kazi yangu ambayo kijana wangu my step son amenirithi kiukweli naumia sana.
Yani tunaelekea uzeeni wife ndo ananza nificha hivi mke wangu alikuwa na tabia nzuri tuu nashindwa elewa izi tabia kazitoa wapi za kunificha sijawai mfumania ajawai nifumania sina mtoto wa njee sina mwanamke njee japo nilishawai kuwa mchepuko nilipigaga mara mbili tatu onetime nikatemana nae lkn mke wangu hakujua sasa nashindwa kuelewa why wife amebadilika hivi?
Kitu kingine kijana huyu nikimpigia cm apokei au akipokea hana story na mimi kama zamani kiukweli hiki kitu kina nitesa sana yani natamani hata nistaf mapema ili niwe karibu na wife lkn mm kustaaf bado mpaka mwaka 2045.
Kiukweki sina furaha natamani nirudi nikakae karibu na familia yangu sijawai fikiria kama mapenzi yatanitesa hivi jinsi mm na wife tulivyopendana sijui nimemkosea wapi mpaka amenitenga ananificha baadhi ya vitu yeye na kijana wake.
Kitu kingine naskia wife anajenga uko MBANDE lkn ajaniambia hii sina uhakika mana nipo mbali nae ukiangalia kama miradi mingi mm na wife tumeshirikiana ifanya na iko hatua nzuri kiukweli nataka nichukue leave ya mwezi mzima nikakae home nitulize akili mana wife simuelewi anashida gani kwann ananificha ficha vitu vyake sikuizi.