Njoeni Muone Vioja

Uchizi wangu nini sasa?

Alafu wanawake wa jf wote wapo kwenye mahusiano na wana date na tall dark and handsome kasoro Kelsea tuu ambaye ameamua kutulia na andunje andunje
Ndio sema wengine sisi sio dark ni weupe peee. Nitoe huko kwenye dark
 
Hahahaha mkuu walimu tupo sema wengi wanajificha
 
Ila mtoa mada mtandaoni tunaishi maisha ya ndoto zetu😁😁
Mfano mimi huwa naokota chupa nauza siwezi andika ukweli huu leo ni mwanzo na mwisho😜😁😁
 
Una agenda kufanya watu wapigwe ban wewe sio bure

Extrovert Mzee wa kupambania mkipita hapa muwe wapole
Huyu mleta uzi HERUFI KUBWA anaonekana ni mtu wa kufutilia sana maisha ya watu, wivu na gubu.

Hivi anapataje muda wa kufuatilia maisha ya watu kwanza tena kwenye mitandao!!πŸ€”πŸ€”

Hizi ni dalili za uchawi watu kama hawa hawachelewi kukuroga ukiwa na mafanikio

Mtoto wa kiume kuwa na pigo kama hizi utapakatwa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Itakua anatafuta mtu wa kumpaka mafuta huyu sio bure 🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…