Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nime kumiss 😁😁 upo kweli we mdadaJiwe gizani
Akalie nini mkuu dushe au? 😂Sawa, Njoo ukalie sasa
tungo tatanishi hiiAkalie nini mkuu dushe au? 😂
😂😂😂 Akaze tacall asije akafanyajwe?unataki umtag na ukaze hizo tacle zako
Wanawake wa jf wote hawatoi tigoJf kila mtu Tajiri Hakuna Nyuzi ya Mtu Maskini.
Jf kila mwanaume lazima Anakula Kimasihara Halfu anatumia laki 2 sasa sijui wanaume wajf tofauti na Tunaokutana nao mtaani kutoa Elfu 10 shida.
Jf kila mtu anaishi kwa nyumba kali na Ana gari kali Range,V8 Hatari tupu jamani eh humu ndani.
Jf kila mwanaume ana nguvu za kiume .
Jf kila mtu ana degree kutoka Udsm kama udaktari basi kasomea Muhas,
Jf hakuna anayekaa gheto wote wana nyumba kama sio tabata basi kigamboni.
Jf wanawake wa Jf hatuna maisha ya ovyo wala Hatudangi.
Jf kila mtu anajua kuandika vizuri na kila mtu mkosoaji.
Jf kila mtu anamshauri mwenzake atafute Hela.
Jf wanaume hawaendeshwi na mapenzi.
Jf superstar wao ni mshana Jr na jamaa yule wa subiri wakupe muongozo sijui nani.
Hahaaaa haahaa we ni chiziWanawake wa jf wote hawatoi tigo
Uchizi wangu nini sasa?Hahaaaa haahaa we ni chizi