Njombe: Aliyeshtakiwa kwa kuwabaka Wanawake kwa zamu na kuwaingizia matango sehemu za siri ahukumiwa miaka 180 jela

Duh 27 akitoka hapo mzima kashazeeka sana afu tuko naye age moja aisee ngoja nichunge sana uselemani kumbe mahakama inatuchukulia 27 ni watu wazima.duh
Miaka 180 + 27 atakuwa amezeeka au unamaanisha nini?
 
Huko Mbeya na Iringa kuna dogo alitomba wanawake 300 akitumia dawa za Kishirikina akiwemo Mke wa Mchungaji kanisa ambalo dogo alikuwa akisali
 
Dogo msengerema sana, acha akanyee debe
Huko mbeya wanawake ni walaini mno. Kwenye shuhuda za Davista Mata na Promover tv kuna wanaume wanakula Wanawake mpaka 500 kwa mwaka huko Mbeya na Iringa.

Wametanguluza sana Ngono mbele.

Hapa Dar kila demu unayekutana naye wa Mbeya au Iringa na njombe unakuta ana watoto wawili U watatu aliozaa kabla ya ndoa.

Sijui shida ni ile baridi au vipi.
 
Wansema serikali haijui ushirikina sas ambona Dogo Juma Msemwa wanamuonea kwa mambo aliyotumwa na Mganga?
 
Kwani huyo Dogo alikuwa na Bunduki kiasi cha kuteka watu watatu wazima kwa pamoja?
 
Hizi kesi zimekua nyingi sana!
Inasikitisha eti
 
Siyo miaka 180 mkuu kama ilivyoandikwa, mfano miaka 30 ulawiti, miaka 30 ubakaji, hapo atakaa gelezani miaka 30, ila anakuwa amehukumiwa miaka 60.
Nieleweshe hapa mkuu, imekaaje kisheria
 
Mnatusema na darisalama yetu ona sasa mambo mnayofanya huko mikoani
 
Wanawake watatu akawapiga tukio mtaani kabisa kwa siku kadhaa [emoji848][emoji848] hawakupiga hata kelele au kujiokoa [emoji848][emoji848]mmmmh
Atakuwa alichukua malaya na akawazingua kuwalipa, yani hata angekuwa mwanamke mmoja unamuingizaje ndani bila yeye kutaka, na siku zote hizo hapigi kelele

Kijana atakuwa ni mwenzetu humu wa uzi wa ipi sexual fantasy yako[emoji23]
 
Nyiee..!!πŸ˜“πŸ˜“πŸ˜“
 
Kwahio hapo kila kosa ni miaka 30? na anatumikia kwa pamoja, kwaufupi 6 IN 1, means atakaa ndani miaka 30? Naomba nirekebishwe kama sivyo.
Halafu huyo mganga anaachwajee?

Ataishi jela miaka 20.. Miaka jela unaishi 2/3 ya muda uliohukumiwa. Vifungo 6 vya miaka 30 vinaenda pamoja do ni miaka 30 na kwa kuwa unatumikia 2/3 maana yake ni atakaa jela kwa miaka 20
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…