TANZIA Njombe: Anthony Mwandulami Afariki Dunia. Alijijengea kaburi la mamilioni ya shilingi

Kuna story nilisikiaga kua jamaa alifika.makambako alikua anataka aende iringa sasa kuna kuna mpga debe mmoja kihelehe kikamshika kamnyanganya begi jamaa bila kuuliza anakoenda aise jamaa akamwachia begi likapelekwa kwenye gari inayoenda mbeya aise unaambiwa ile gari ikawa haiwaki
 
Hatimaye kafa kweli ...bado JDee
 
Mbona siku hizi hawaji au madini yameisha? Bro uliongea pumba mbaya sana hadi niliona aibu mimi.
wewe jamaa buana Kama niliongea pumba kwanini hukufanya utafiti unijibu Kwa fact
Wale wameadvance kwenye technology Leo huwezi waona Kwa macho kwani hujawahi sikia juu ya viumbe Alien kuja juu ya uso wa dunia?

Ndio hao hao ila jina limebadilika tu!
 
Kwahiyo aliowapa utajiri watafirisika?
 
Mleta uzi amemuelezea huyu jamaa utafikiri ni daktari wa kisayansi,kumbe ni mganga wa kienyeji

Ova
mkuu hapana nilivyomwelezea ndio hivyo hivyo anafahamika na wengi yeye anafahamika Kama Dr sababu ana mbaka Clinic ya tiba Asili Kama kina Dr Mwaka ukienda kikawaida unapata huduma ya kawaida maana alikua na ofisi ya kisasa kabisa
Ila ukienda kindumba ndumba hapo sasa ndio anakupeleka kilingeni kwake akaone upande wa pili !
 
Hatimae mwili umewasili Leo mchana ukitokea Dar es Salaam nimepata taarifa baada ya kuufikisha nyumbani Kijiji Cha Itunduma kitongoji Cha wangama Sasa wanautoa na kupeleka huko inakodaiwa ndio Kuna taratibu za kiganga wanaenda mfanyia Kwa wakuu wa vilinge ndipo Sasa hatua za mazishi zifuate
 
MEMENTO MORI.
 
Mkuu kumbe yule mzee unampata daaa wewe utakua Mtwango unapapata vema,
Yule mzee alikua maarufu Sana enzi zile Hadi akajijengea kaburi lake lipo pale njiani Kama unaenda Mtwango Secondary mkono wa kushoto Barabara ya Makambako_ Songea !
Nimesoma pale mtwango sec na binti yake wa mwisho alikuaga pisi yangu enzi hizo
 
Nimesoma pale mtwango sec na binti yake wa mwisho alikuaga pisi yangu enzi hizo
au sio kumbe umebukua pale kwa Mbunda haaaahaaa
Nahisi utakua mhuni mmoja Hivi maana ukisoma pale hukosi uhuni arif!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…