TANZIA Njombe: Anthony Mwandulami Afariki Dunia. Alijijengea kaburi la mamilioni ya shilingi

Endelea kutuhabarisha yanayojiri huko mkuu
 
Tuliaga jana hospital ya jeshi lugalo,wakasafirisha kwenda wangama jana mchana,mazishi ni ijumaa kwa mujibu wa familia,kwa tuliopo dar safari ni alhamis usafiri utakuwepo.
Nikutakie safari njema ,utatuhabarisha ukiwa huko msibani
 
Kilikua kipande cha mtu hivi haaa haaa haaa kilikua mafia balaa
mwamba alikua anatisha Sana hatari sisi form one tulianza wanafunzi 160 hivi yule jamaa akawa anatufundisha English Sasa Ile tumelipoti tu kinjuka na mwamba ndio anahamia aisee mabala the farmer tu ikasababisha njuka 20 wakache shule maana alikua anatoa kichapo heavy kiasi kwamba kitabu chote utakichambua bila kupenda

Aisee akakomaa na sisi mbaka form 4 tukamaliza watu 102 tu sababu ya yule mwamba watu walikacha shule mapema tu alikua mtu na nusu!
😂😂😂😂😂
 
Basi hatujapishana sana mimi na wewe wakati anafika nilikua form 2,bange kama maua,ulanzi kichiwa mpaka tagamenda, maandazi ya bi mahepe au kule chini kwa bi mdogo wa mzee lutengano, ugali wa mpishi mayemba na yule ticha wa kemia aliungua mdomo Ndendya
 
hahaahaaa hatari na nusu mzee baba!
 
Huko sahihi kabisa.
Tena malizia Mzee Lutengano Nganilevanu
 
sema vile ilivyo, mganga, muchawi wa jadi aliyenjijengea kaburi afa, huyu sio dr, heshimu madaktari mkuu
 
Yaah n poa Sana mkuu alinipokea nilipoenda kuzika msiba wa PROF CHACHAGE alizikwa pale mtwango maana alikuwa mwalimu wangu prof

Mdogo wake ANDREW Kama sikosei unamjua na Yuko wapi?
Mwanaye yule,ni mtoto wakaka yake ambayw ni marehemu, Andrew ni ticha ilembula nadhani
 
Yaah n poa Sana mkuu alinipokea nilipoenda kuzika msiba wa PROF CHACHAGE alizikwa pale mtwango maana alikuwa mwalimu wangu prof

Mdogo wake ANDREW Kama sikosei unamjua na Yuko wapi?
Ngoja kesho nitawauliza wakulungwa wa pande zile
Nijue Andrew aliko mkuu nitakuletea majibu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…