Full Blood Picture
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 2,223
- 3,961
Ni kwa sababu hakuna simba anayeishi mjini au kuishi na watu. Simba wanaishi porini tu ndo kuna wanyama wa kukimbiza na kuwalaHii timu ya Simba imesababisha vifo vingi sana kwa mashabiki wake, tofauti kabisa na Wananchi Yanga! Mifano ni mingi, muda ni mchache!
Sijui sababu ni nini!!!
Huyu jamaa alikuwa mshirikina haswa,hakuna mkazi yeyote yule wa buza asiyemjua.Ana mdogo wake anaitwa Sifuni naye alikuwa mchawi balaa.View attachment 1840225View attachment 1840223
Dokta Anthony Mwandulami mganga maarufu kutoka Kijiji Cha Itunduma kitongoji Cha wangama Kata ya Mtwango mkoani Njombe Afariki Dunia usiku wa Jana jijini Dar es Salaam.
Mganga huyo aliyejipatia umaarufu nchini baada ya kujijengea kaburi lake la mamilion ya fedha ambalo alisema atazikwa yeye na wakeze watatu.
Dokta Mwandulami alichukua uamuzi huo wa kujiandalia makazi ya milele kitendo kilichowashangaza wananchi wengi hapa nchini.
Taarifa zaidi nitazileta Kwa update!
Zaidi, soma: Njombe: Mganga wa kienyeji Mwandulami ajijengea kaburi la mamilioni, anamiliki magari ya kifahari
Kilinge chake kipo yombo kwa Lulenge kama sikosei.Alikua mganga wa jadi bwashee ni maarufu Sana mkoani Njombe ila ni Aina ya wale waganga wanaojiganga maana alikua njema Sana kiuchumi na ana miradi kibao!
Naam. Bado JDee. Bado mimi. Bado wewe. Wote tutakufa. Ni suala la muda tu [emoji1545]Hatimaye kafa kweli ...bado JDee
Miongoni mwa mambo yaliyoshangaza ni
- TRA walikwenda kumkagua wakitaka kodi, akawakaribisha kwenye viti na kuwapa nyaraka zake wazipitie, muda mfupi wote wakapitiwa usingizi mzito wakaja kuzinduka jioni, hawakutaka kumsikia tena wakaondoka.
- Alifuga nyuki chini ya Nissan yake kama walinzi.
- Inasadikika alipata kutumia nguvu ya jadi kumfanya mbaya kibaka pale Mnazimmoja Dar baada ya kumwibia mizigo yake
Ndiye huyu huyu.Hivi huyu ana uhusiano na yule Mwandulami wa Buza? sababu nae ana clinic yake pale Buza!
Itakuwa kafara hiyoMwanaye nilisoma naye naye alifariki kwa upenzi siku hiyo simba ilishinda akaenda kulala kwenye reli pale yombo View attachment 1840557
Stori tu hizi. Huwaga hakuna shahidi wa moja kwa moja kwenye haya mambo. Wote ni second hand info....Alikuwa mchawi balaa huyu, ukimuibia kitu anakuonesha live kwenye TV yake ya jadi.
AiseeJaman Wale wasukuma watatibiwa vichaa vya kutupiwa na nani?
Dah mwandulami ananidai 80 000 ya dawa na ndo kavuta
Stori tu hizi. Huwaga hakuna shahidi wa moja kwa moja kwenye haya mambo. Wote ni second hand info....
Hilo deni la mashetani litakusumbua sana kwa sababu litakuwa linataka kulipwa. Kwa usalama wako lipeleke madhabahuni kwa Bwana [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]Jaman Wale wasukuma watatibiwa vichaa vya kutupiwa na nani?
Dah mwandulami ananidai 80 000 ya dawa na ndo kavuta
Waganga wengi wa jadi ni matapeli, huwezi kuwa mganga wa jadi na ukawa bilionea, huo ubilionea kwa malipo gani kama sio kuwatapeli na kuwatisha watu kwa uongo wao?
Mdogo wake marehemu,anaitwa Sifuni ni mchawi balaa
Apate hewa na kuangalia yanayopita njeHayo madirisha aliweka ya kazi gani kwenye kaburi, designer wake atufunguwe akili
View attachment 1840366
Hapo lilikuwa bado halijamalizika ,ukiliona saivi utakubaliSijaona Kaburi la Bilioni moja hapo.
Poleni ndugu , jamaa na marafiki pamoja na WAKEZE.
Ila mimi sijajiandalia kaburi wala jeneza.. Vp weweNaam. Bado JDee. Bado mimi. Bado wewe. Wote tutakufa. Ni suala la muda tu [emoji1545]
Ujiandalie usijiandalie haisaidii cho chote. Kufa kuko pale pale kamanda [emoji16][emoji16][emoji16]
Siku ya kuhudumiwa uwe msafi usilale mtaa wa piliAlikuwa mchawi balaa huyu, ukimuibia kitu anakuonesha live kwenye TV yake ya jadi.