Naafikiana nawe, hivi hata Issa bin Mariam si aliandaliwa kaburi kwenye mwamba? Not sure thoughUjiandalie usijiandalie haisaidii cho chote. Kufa kuko pale pale kamanda [emoji16][emoji16][emoji16]
Actually nadhani kujiandalia ni wazo zuri
HamnaUjiandalie usijiandalie haisaidii cho chote. Kufa kuko pale pale kamanda [emoji16][emoji16][emoji16]
Actually nadhani kujiandalia ni wazo zuri
Sio treatment jamani, ni zile code za icd 10 kwa ajili ya kujaza kwenye form za bima ndio wana google. Ni ngumu kuzikariri zote.Kwani si anatibu..tena bora yeye kuliko hao wanao google treatment
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
nahisi hivyo ila hicho atakua anakiendesha mtoto wake Kwa hapo Dar sababu jamaa alikua na nyumba miji mbali mbaliKilinge chake kipo yombo kwa Lulenge kama sikosei.
Acha kumshauri ujinga mwenzio et apeleke kanisani Kwa bwana wewe akairudishe kilingeni huko huko kumbuka ya kaisari mpe kaisari ya bwana Mpe bwana kwani Bible yenu haijasema?Hilo deni la mashetani litakusumbua sana kwa sababu litakuwa linataka kulipwa. Kwa usalama wako lipeleke madhabahuni kwa Bwana [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Haswa hawa wakeze, hivi wanazikwa hai au nao wakifa ndio wanazikwa humo?Sijaona Kaburi la Bilioni moja hapo.
Poleni ndugu , jamaa na marafiki pamoja na WAKEZE.
hawazikwi wote Kila mtu na muda wake atakaokufa ndio kaanza mume kihivyo!Hivi anavyosema anazikwa na wakeze ina maana wanazikwa wakiwa hai? au nao muda wao utakapofika?
Doctor kwa kiswahili ni mganga...sasa tatizo liko wapi?Mganga wa jadi ndio Doctor?
Acheni kudhihaki taaluma za watu
Asante kwa ufafanuzi mkuuhawazikwi wote Kila mtu na muda wake atakaokufa ndio kaanza mume kihivyo!
Mazishi Ijumaa kiongozi, hata sisi was Makambako tunashinda Wangama kwenye msiba tukiombeleza tu. Ni kama sherehe ya wiki nzima yaani!!Huyu mwamba Dk Mwandulami katangulia mwenye taarifa rami za mazishi aweke hapa tuone kama tunaweza kwenda kumpumzisha ndugu yetu.
View attachment 1840161
kumbe tunaweza kuonana kamandaMazishi Ijumaa kiongozi, hata sisi was Makambako tunashinda Wangama kwenye msiba tukiombeleza tu. Ni kama sherehe ya wiki nzima yaani!!
Ni Ofisi za Zamani, sa hivi Halimashauri ina majengo yake!Anamiliki nyumba nyingi sana Njombe na Makambako, inasemekana moja ya nyumba zake ni ofisi ya Halimashauri ya mji wa Makambako,
Yawezekana ni mmoja, alikuwa na Ofisi Dar na Njombe!Hivi huyu ana uhusiano na yule Mwandulami wa Buza? sababu nae ana clinic yake pale Buza!
Sasa si bora ya huyu, kuna mpuuzi mmoja alikuwa akilindwa na wanyarwanda eti hawaamini waTz wenzie, msafara wake ulikuwa na helikopta juu, walinzi wenye siraha nzito, magari ya kudetect Mabomu na alipokuwa akiebda mahali alikuwa anawatuma mashushushu mwezi kabla. Sema Mungu ni funding sana!Vipi ameponya wengi.yeye kashindwa kujiponya?
Hivi yale mafunzo ya kijeshi ya ...adui yuko mbele, kushoto, kulia na nyuma, singeeeee choma!! Sooooo up! Sòoooo up! Bado yana apply? Siku hizi maadui wanaua kwa teknolojia nyingine kabisaSasa si bora ya huyu, kuna mpuuzi mmoja alikuwa akilindwa na wanyarwanda eti hawaamini waTz wenzie, msafara wake ulikuwa na helikopta juu, walinzi wenye siraha nzito, magari ya kudetect Mabomu na alipokuwa akiebda mahali alikuwa anawatuma mashushushu mwezi kabla. Sema Mungu ni funding sana!
Hilo begi kweli ni janga, ila waalimu ndio wakulaumiwa, manake hawafati ratiba ilivyopangwa!! utakuta wanapishana tu ili mradi kawahi!!Huyu mwamba Dk Mwandulami katangulia mwenye taarifa rami za mazishi aweke hapa tuone kama tunaweza kwenda kumpumzisha ndugu yetu.
View attachment 1840161
haaahaaahaaa nimekumbuka nchi zilizokua muungano wa kisoviet zilipanga vita Sasa nchi mojawapo miaka ya nyuma aliwahi mtwanga mwenzie na kunyang'anya eneo lakeHivi yale mafunzo ya kijeshi ya ...adui yuko mbele, kushoto, kulia na nyuma, singeeeee choma!! Sooooo up! Sòoooo up! Bado yana apply? Siku hizi maadui wanaua kwa teknolojia nyingine kabisa
Alikuwa mshamba kabisa, hakuyajua hayo!Hivi yale mafunzo ya kijeshi ya ...adui yuko mbele, kushoto, kulia na nyuma, singeeeee choma!! Sooooo up! Sòoooo up! Bado yana apply? Siku hizi maadui wanaua kwa teknolojia nyingine kabisa