Njombe: Askari 3 wafariki na wengine 9 kujeruhiwa katika ajali

Njombe: Askari 3 wafariki na wengine 9 kujeruhiwa katika ajali

kama na hao marafiki na majirani wanaonea wananchi kwa point ya huyu mchangiaji ni sawa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio sawa hata siku moja, tunajiona ni wajanja kuongea hivyo lakini kumbuka katika koo ya mtanzania yeyote, kabila, jamii zetu hao watu hawakosekani.

cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
 
Leo asubuhi majira ya saa 12:15am hivi imetokea ajali mbaya Sana mkoani Njombe ikihusisha gari la abiria kampuni ya Sharon na gari la polisi Toyota land cruiser. Basi hilo linalofanya safari zake Kati ya Njombe na Arusha.
Basi la Sharon lilikuwa lina overtake basi la mwalimi express kwenye mtelemko wa polisi. Kwa Bahati mbaya na gari la polisi likiwa na askari 12 likawa linaingia barabarani. Ndo hapo balaa likatokea. Palepale askari wetu 3 wakakata kauli.
Taarifa zinasema basi la Sharon lilifeli brake.
Pole kwa familia na jeshi la polisi.
Nasikitika wamekufa polisi wachache
 
Na kingine ambacho hujakiona ni kwamba hii land cruiser ni ktk zile zilizofanyiwa modification (vibandawazi) hizi gari hawajajali kbs usalama wa waliopanda kwenye bodi! Hakuna tofauti na mpanda boda boda!

Kama hii pickup ingekuwa na bodi yake ya kawaida madhara yangekuwa madogo, na labda ingeepusha vifo kwa askari wetu japo hawajamaa hawafuatagi sheria za usalma barabarani.

Polisi angalieni usalama wenu, sio mnakamata daladala isiyofunga mlango wakati nyinyi gari zenu hata milango hazina! Pia wengi wenu ni walevi!

Poleni"

ukiichunguza kwa makini hiyo hard top imegongwa ubavuni tena nyuma kuanzia mwisho wa cabin, na basi limepata madhara mbele tena kwenye kona ya kulia ikiwa inamaanisha dereva wa hard top alikuwa anaingia barabarani wakati huo huo basi likiwa barabara hiyo likiendelea na safari, na kama ni mahala kilipo kituo cha polisi kama inavyodaiwa basi kuna tatizo hapo kwann lisiwekwe tuta kwa ajili ya kupunguza mwendo wa vyombo vya moto pengine magari hupita kwa kasi hapo na ndo sababu ya basi kugonga cruiser ubavuni wakati ikiingia road.
Pumzikeni kwa amani officers, majeruhi mwenyezi MUNGU awajaalie uponyaji

Sent using Redmi Y2
 
Pole raia wa familia wa kwenye ajali!!!Polisi siwapi pole mmesahau majukum yenu kwenye utawala huu mnamlinda jiwe na mauaji yake mmewaacha raia na maumivu yetu!!!Mungu awamalize polisi wote kabla ya uchaguzi huu!!!
Utajimaliza kwa Chuki ndugu hata wakifa wote jeshi liko palepale wataajiriwa wengine

Kufa kwao kusikufurahishe maana hakumalizi jeshi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka katika hao polisi, kuna ndugu, jamaa, majirani na marafiki zetu! [emoji848][emoji848][emoji848]

cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
Haijalishi careem hivi umewahi kuona manyanyaso ya KIBITI, IKWIRIRI? acha watangulie
 
Kuna member wanasema poleni 'polisi wetu' hahahahaha na mimi nasema poleni kwa kuondokewa na polisi wenu,,, heri abiria hawajadhurika Mungu mkubwa
 
Back
Top Bottom