Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huo ndio uanaume,sio unakaa unabishana na mtu ambaye unajua kabisa ni mbabaishaji au ana matatizo kichwani,Hahahahaah hii Kali! Nilikua hapo kituoni Njombe miezi mitatu iliyopita aieee yule binti pale mapokezi alikua anajibu watu vibaya sana! Nikaishia kucheka tu. Kikaja kiaskari kingine kimeshupaa utadhani komamanga LA kiangazi, kikajifanya kunipiga mkwara nikatabasamu tu nikatoka nje nikamwambia sawa boss.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiichunguza kwa makini hiyo hard top imegongwa ubavuni tena nyuma kuanzia mwisho wa cabin, na basi limepata madhara mbele tena kwenye kona ya kulia ikiwa inamaanisha dereva wa hard top alikuwa anaingia barabarani wakati huo huo basi likiwa barabara hiyo likiendelea na safari, na kama ni mahala kilipo kituo cha polisi kama inavyodaiwa basi kuna tatizo hapo kwann lisiwekwe tuta kwa ajili ya kupunguza mwendo wa vyombo vya moto pengine magari hupita kwa kasi hapo na ndo sababu ya basi kugonga cruiser ubavuni wakati ikiingia road.Hio pick up mbona kichwa hakijaguswa? Sasa nawaelewa wanaopenda kukaa na dereva
Hicho kituo kiko kwenye kilima, kwahio huyo dereva aliingia kiboya wakati jamaa anashuka kwenye kilima Rada ikiwa tayari inasoma Arusha tayari.....ukiichunguza kwa makini hiyo hard top imegongwa ubavuni tena nyuma kuanzia mwisho wa cabin, na basi limepata madhara mbele tena kwenye kona ya kulia ikiwa inamaanisha dereva wa hard top alikuwa anaingia barabarani wakati huo huo basi likiwa barabara hiyo likiendelea na safari, na kama ni mahala kilipo kituo cha polisi kama inavyodaiwa basi kuna tatizo hapo kwann lisiwekwe tuta kwa ajili ya kupunguza mwendo wa vyombo vya moto pengine magari hupita kwa kasi hapo na ndo sababu ya basi kugonga cruiser ubavuni wakati ikiingia road.
Pumzikeni kwa amani officers, majeruhi mwenyezi MUNGU awajaalie uponyaji
Kumbuka katika hao polisi, kuna ndugu, jamaa, majirani na marafiki zetu! [emoji848][emoji848][emoji848]Pole raia wa familia wa kwenye ajali!!!Polisi siwapi pole mmesahau majukum yenu kwenye utawala huu mnamlinda jiwe na mauaji yake mmewaacha raia na maumivu yetu!!!Mungu awamalize polisi wote kabla ya uchaguzi huu!!!
Mkuu linapokuja swala kama hili. Wale ni binadamu wenzetuPole raia wa familia wa kwenye ajali!!!Polisi siwapi pole mmesahau majukum yenu kwenye utawala huu mnamlinda jiwe na mauaji yake mmewaacha raia na maumivu yetu!!!Mungu awamalize polisi wote kabla ya uchaguzi huu!!!
Yanapokuja maswala ya kutuonea cc raia wale ni miungu wetu sio?Mkuu linapokuja swala kama hili. Wale ni binadamu wenzetu
Mkuu linapokuja swala kama hili. Wale ni binadamu wenzetu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji134]Pole raia wa familia wa kwenye ajali!!!Polisi siwapi pole mmesahau majukum yenu kwenye utawala huu mnamlinda jiwe na mauaji yake mmewaacha raia na maumivu yetu!!!Mungu awamalize polisi wote kabla ya uchaguzi huu!!!
kama na hao marafiki na majirani wanaonea wananchi kwa point ya huyu mchangiaji ni sawa tuKumbuka katika hao polisi, kuna ndugu, jamaa, majirani na marafiki zetu! [emoji848][emoji848][emoji848]
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ