Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,093
- 11,377
Sio sawa hata siku moja, tunajiona ni wajanja kuongea hivyo lakini kumbuka katika koo ya mtanzania yeyote, kabila, jamii zetu hao watu hawakosekani.kama na hao marafiki na majirani wanaonea wananchi kwa point ya huyu mchangiaji ni sawa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikitika wamekufa polisi wachacheLeo asubuhi majira ya saa 12:15am hivi imetokea ajali mbaya Sana mkoani Njombe ikihusisha gari la abiria kampuni ya Sharon na gari la polisi Toyota land cruiser. Basi hilo linalofanya safari zake Kati ya Njombe na Arusha.
Basi la Sharon lilikuwa lina overtake basi la mwalimi express kwenye mtelemko wa polisi. Kwa Bahati mbaya na gari la polisi likiwa na askari 12 likawa linaingia barabarani. Ndo hapo balaa likatokea. Palepale askari wetu 3 wakakata kauli.
Taarifa zinasema basi la Sharon lilifeli brake.
Pole kwa familia na jeshi la polisi.
ukiichunguza kwa makini hiyo hard top imegongwa ubavuni tena nyuma kuanzia mwisho wa cabin, na basi limepata madhara mbele tena kwenye kona ya kulia ikiwa inamaanisha dereva wa hard top alikuwa anaingia barabarani wakati huo huo basi likiwa barabara hiyo likiendelea na safari, na kama ni mahala kilipo kituo cha polisi kama inavyodaiwa basi kuna tatizo hapo kwann lisiwekwe tuta kwa ajili ya kupunguza mwendo wa vyombo vya moto pengine magari hupita kwa kasi hapo na ndo sababu ya basi kugonga cruiser ubavuni wakati ikiingia road.
Pumzikeni kwa amani officers, majeruhi mwenyezi MUNGU awajaalie uponyaji
Pole kwa majeruhi wa kwenye Bus..RIP mapolisi
Nimecheka sana Mkuu.
Utajimaliza kwa Chuki ndugu hata wakifa wote jeshi liko palepale wataajiriwa wenginePole raia wa familia wa kwenye ajali!!!Polisi siwapi pole mmesahau majukum yenu kwenye utawala huu mnamlinda jiwe na mauaji yake mmewaacha raia na maumivu yetu!!!Mungu awamalize polisi wote kabla ya uchaguzi huu!!!
Haijalishi careem hivi umewahi kuona manyanyaso ya KIBITI, IKWIRIRI? acha watangulieKumbuka katika hao polisi, kuna ndugu, jamaa, majirani na marafiki zetu! [emoji848][emoji848][emoji848]
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
kuna raia walionewa na polisi kibiti?Haijalishi careem hivi umewahi kuona manyanyaso ya KIBITI, IKWIRIRI? acha watangulie