Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Njombe, iringa, mbeya is too much.Ushenzi upo kila sehemu tatizo nyie mnafumbia macho
Huko Kila Mwanamke ni single maza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njombe, iringa, mbeya is too much.Ushenzi upo kila sehemu tatizo nyie mnafumbia macho
Taja mkoa usio na single maza
Njombe, iringa, mbeya is too much.
Huko Kila Mwanamke ni single maza
Duh sio mashart ya mganga kweli.Nyie wanaume mna moto wa pekee yanu huko jehanamu.
Kina mama tujitahidi kuwalinda watoto hasa pale wakiwa chini ya miaka 18.
Yupo baba mwingine hapo mbezi yeye analala na binti zake wawili wa kuzaa mwenyewe na mama yao mzazi yumo humo humo ndani na anajua kila kitu.
Acha kunishambulia bana kumbuka nshameza dawa zangu 😆😆😆😆😅.Tu are better than this, bro.
Awekwe uchi public na awe displayed mwezi mzimaAisee, anyongwe huyu
Dawa umemeza zipi? Mara ya mwisho kwenda kwa Doc for a new prescription lini?Acha kunishambulia bana kumbuka nshameza dawa zangu 😆😆😆😆😅.
Nakuuliza mara nyingine tena. Je ni wewe kwenye hiyo ID avatar picha?
Hahaha nimecheka kwa sauti kubwa sana.Dawa umemeza zipi? Mara ya mwisho kwenda kwa Doc for a new prescription lini?
Nakujibu tena, Hapana sio Mimi.
No excuse hapa. Ale kamba tuAisee, anyongwe huyu
Kile kibibi cha second floor kitakufuata we cheka hovyo shauri yako!Hahaha nimecheka kwa sauti kubwa sana.
Acha vituko wewe jamvin.
Tupe ushahidi kama kweli huyo Baba anatembea na ma binti zake pamoja na huyo Mama yao, kama ni kweli!!Nyie wanaume mna moto wa pekee yanu huko jehanamu.
Kina mama tujitahidi kuwalinda watoto hasa pale wakiwa chini ya miaka 18.
Yupo baba mwingine hapo mbezi yeye analala na binti zake wawili wa kuzaa mwenyewe na mama yao mzazi yumo humo humo ndani na anajua kila kitu.
Njombe kumekucha sasaWatoto wawili wa familia moja ambao ni wanafunzi wa shule ya msingi katika halmashauri ya mji wa Makambako mkoani Njombe wanadaiwa kubakwa na kuambukizwa virusi vya ukimwi (VVU) na baba yao wa kufikia.
Victor Nyato ambaye ni mwenyekiti wa mtaa wanapoishi watoto hao na mama yao, ambao mmoja anasoma darasa la pili mwenye umri wa miaka 7 na mwingine anasoma darasa la tatu akiwa na umri wa miaka 10, amesema chanzo cha watoto hao kufanyiwa ukatili ni mama kutumia muda mwingi kwenye shughuli za kiuchumi za kusaidia fundi ujenzi na kunywa pombe.
"Mama ameniambia watoto wote amepata akiwa Dar es Salam na baba zao ni tofauti lakini baada ya kuona maisha ni magumu ndio akarudi Makambako akawa na mshkaji wake kilabuni akawa anamkimbia kilabuni na kwenda nyumbani kutekeleza ukatili huo," amesema Nyato.
Mkuu wa Jeshi la Polisi wilaya ya Kipolisi Makambako, Omary Diwani amethibitishia kutokea kwa tukio hilo na kupata taarifa Septemba 18, 2024 baada ya bibi wa watoto kubaini wajukuu wake wamebakwa na mtuhumiwa akidaiwa kukimbia.
"Ni kweli kuna taarifa ya kufanyiwa vitendo hivyo na baba yao wa kufikia utaratibu wa kipolisi ulifanyika lakini bahati mbaya hili swala wao walitambua toka Desemba 11, 2024 sasa lilichelewa kufika kwenye mamlaka na wakati tunafanya juhudi za kumpata mtuhumiwa alitoroka," amesema Diwani.
Ili watoto hao waweze kuishi kwa amani na uangalizi mkubwa, idara ya ustawi wa jamii Makambako imewahamishia watoto kwenye kituo cha kulelea watoto yatima lengo ikiwa ni kuhakikisha wanapata huduma bora hususani chakula na dawa.
View attachment 3175142
Ni makubaliano yao, hujui nn 7bu ya wao kufanya hivyoNyie wanaume mna moto wa pekee yanu huko jehanamu.
Kina mama tujitahidi kuwalinda watoto hasa pale wakiwa chini ya miaka 18.
Yupo baba mwingine hapo mbezi yeye analala na binti zake wawili wa kuzaa mwenyewe na mama yao mzazi yumo humo humo ndani na anajua kila kitu.
Watoto wawili wa familia moja ambao ni wanafunzi wa shule ya msingi katika halmashauri ya mji wa Makambako mkoani Njombe wanadaiwa kubakwa na kuambukizwa virusi vya ukimwi (VVU) na baba yao wa kufikia.
Victor Nyato ambaye ni mwenyekiti wa mtaa wanapoishi watoto hao na mama yao, ambao mmoja anasoma darasa la pili mwenye umri wa miaka 7 na mwingine anasoma darasa la tatu akiwa na umri wa miaka 10, amesema chanzo cha watoto hao kufanyiwa ukatili ni mama kutumia muda mwingi kwenye shughuli za kiuchumi za kusaidia fundi ujenzi na kunywa pombe.
"Mama ameniambia watoto wote amepata akiwa Dar es Salam na baba zao ni tofauti lakini baada ya kuona maisha ni magumu ndio akarudi Makambako akawa na mshkaji wake kilabuni akawa anamkimbia kilabuni na kwenda nyumbani kutekeleza ukatili huo," amesema Nyato.
Mkuu wa Jeshi la Polisi wilaya ya Kipolisi Makambako, Omary Diwani amethibitishia kutokea kwa tukio hilo na kupata taarifa Septemba 18, 2024 baada ya bibi wa watoto kubaini wajukuu wake wamebakwa na mtuhumiwa akidaiwa kukimbia.
"Ni kweli kuna taarifa ya kufanyiwa vitendo hivyo na baba yao wa kufikia utaratibu wa kipolisi ulifanyika lakini bahati mbaya hili swala wao walitambua toka Desemba 11, 2024 sasa lilichelewa kufika kwenye mamlaka na wakati tunafanya juhudi za kumpata mtuhumiwa alitoroka," amesema Diwani.
Ili watoto hao waweze kuishi kwa amani na uangalizi mkubwa, idara ya ustawi wa jamii Makambako imewahamishia watoto kwenye kituo cha kulelea watoto yatima lengo ikiwa ni kuhakikisha wanapata huduma bora hususani chakula na dawa.
View attachment 3175142
HahahaNyie wanaume mna moto wa pekee yanu huko jehanamu.
Kina mama tujitahidi kuwalinda watoto hasa pale wakiwa chini ya miaka 18.
Yupo baba mwingine hapo mbezi yeye analala na binti zake wawili wa kuzaa mwenyewe na mama yao mzazi yumo humo humo ndani na anajua kila kitu.
Tu are better than this, bro.
Dah mgalatia mwenzetu. Yani hapa leo kobaaz watatucheka.
Wagalatia kibao kimetugeukia.
hydroxo Accumen Mo nyau de adriz