Njombe: Baba abaka watoto na kuwaambukiza Virusi Vya UKIMWI (VVU)

Hiyo mikoa ni too much, wanawake wanazaa hovyo hovyo tu wala hawafikirii kabisa fate ya matendo yao. Ndio maana Ukimwi uko juu sana miaka yote.
 
Duh sio mashart ya mganga kweli.
 
Acha kunishambulia bana kumbuka nshameza dawa zangu 😆😆😆😆😅.

Nakuuliza mara nyingine tena. Je ni wewe kwenye hiyo ID avatar picha?
Dawa umemeza zipi? Mara ya mwisho kwenda kwa Doc for a new prescription lini?

Nakujibu tena, Hapana sio Mimi.
 
Tupe ushahidi kama kweli huyo Baba anatembea na ma binti zake pamoja na huyo Mama yao, kama ni kweli!!
 
Njombe kumekucha sasa
 
Ni makubaliano yao, hujui nn 7bu ya wao kufanya hivyo
 
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…