Njombe: Juma Kyando, adaiwa kumuua mke wake kisha kumkata vipande na kwenda kumtupa mtoni

Nawe nitolee stress zako. Wapi nikemtaja shetani? Pumbavu wahead wewe.
stori za mungu huendana na shetani.

Ulijibu mtu aliyesema taasisi imeingiliwa na shetani, ukasema mungu atusaidie.

Pumbavu ni kushindwa kuelewa.
Hivyo wewe ni mpumbavu sababu hata Polisi na ndugu wanashangaa na Hawajui Kwanini kafanya hivyo
ILA wewe unayo majibu yako.
 
Ahaaa😅😅😅 e bwana hyo kule milimani nilikuwa napaona kipindi nasoma busokelo,mbeya karibu na milima livingstone sasa ukiwa upande wa mbeya usawa kuanzia kyela mpaka busokelo na baadhi ya vijiji vya wilaya ya rungwe unayaona mashamba ya ngano kwa juuuu milimani.

Kwenda kule juu nakumbuka tulikuwa tunapita kwenye madaraja ya kamba yaliyojengwa na mjerumani. Zile kamba za nyaya zinasaidia mpaka leo watu wa makete hupitia njia hyo kama njia ya mkato kwa mguu kwenda mbeya.
 
Kuishi katika ndoa ni kugumu kuliko maelezo. Tuayoyaona kwaana ndoa Kwa nje in maigizo tu, kiuhalisia ndoa no mapambano ya kudumu. Bila busara na hekima kutumika, maisha ya ndoa hayawezekani kwa wengi
 
Njombe ishu ya migogoro ya ndoa ipo juu sana na jamaa wa huko wana ukatili sana...daah unaikata pisi yako na kwenda kuitupa vipande huo ni ukatili ambao Simba mnyama anasubiri mbali mno...
Inawezekana pisi ilikuwa inamjibu sheet jamaa,kumletea dharau
Mwamba kachoka kavurugwa kachizika
Mambo ya ndoa ya mabalaa sana
Mkuchokana ni off off tu
Bora kila mtu achukue 50 zake

Ova
 
Kuishi katika ndoa ni kugumu kuliko maelezo. Tuayoyaona kwaana ndoa Kwa nje in maigizo tu, kiuhalisia ndoa no mapambano ya kudumu. Bila busara na hekima kutumika, maisha ya ndoa hayawezekani kwa wengi
Ndoa siku hizi hazina uvumilivu

Ova
 
nadhani ARUSHA..GEITA,NJOMBE NA IRINGA ni mikoa inayoitaji maombi mazito sanaa na kukombolewa na pepo la mauaji sio kawaidaa kabisaaa...!! hili ni pepooo sio KAWAIDA HATA KIDOGO.
Arusha umeiweka ili ku balance au? Yaani uifananishe Arusha na Geita,njombe,simiyu,Mara,au Rombo ya kilimanjaro?utakuwa uko mbali na akili zako,Arusha kesi zake ni zile za kimjini mjini,ambazo zipo kwenye majiji yote,zile za deal gone wrong etc, siyo za kuchinja mke.
 
Njombe on the beat once again , Geita na Njombe ,hii mikoa hii ni as if wanaishi subhuman creatures tu
Kila siku matukio ya ajabu ajabu ,aisee
Hizi ziwe kanda maalumu ,na ni mikoa mipya iliyomegwa ila kila siku vituko haviishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…