Njombe: Juma Kyando, adaiwa kumuua mke wake kisha kumkata vipande na kwenda kumtupa mtoni

Njombe: Juma Kyando, adaiwa kumuua mke wake kisha kumkata vipande na kwenda kumtupa mtoni

Watu wamekuwa jeuri
Utakuta mwanaume anakula
Matusi na kejeli juu kutoka kwa
mke
Kuna wakati mtu anachoka,anavurugwa
Ndy hayo mtu anakatwa anawekwa kwenye roba katenganishwa mguu,kidali,kichwa nk

Ova
Aisee ndoa ni changamoto sana kwa sasa , kuna mtu aliandika uzi humu kwamba ametukanwa na mke wake tusi zito ,mke wake akimtukana ":unadhani mimi nafirwa kama wewe ? "
Yeye anadai hii ni baada ya kumuuliza mbona umechelewa ,ulikuwa wapi ?
Huyo mkewe ndio kamjibu hivyo
Sasa najaribu kufikiria kama mtu mwenye hasira za karibu kama mimi ,aisee yawezekana ningefanya kama alichofanya huyu jamaa wa Njombe
Imagine una mke kichwa panzi kama huyo ,kwanini usiende kununua panga na gunia la mkaa kuja kumfanya nyamachoma ?
Tunaishi nyakati mbovu sana wakuu ,Mungu tu atusaidie
 
Tumaini Luvanda (35) mkazi wa Dombwela wilaya ya Makete mkoani Njombe ameuawa kwa kukatwa na panga vipande kisha kutenganishwa kichwa na kiwiliwili na baadhi ya viungo kutupwa kwenye mto jirani na nyumbani katika eneo la Kabinda wilayani humo ambapo tayari Polisi inamshikilia Juma Kyando (36) ambaye ni mume wa Tumaini (Marehemu) kwa tuhuma za kuhusika na mauaji hayo.
View attachment 2866248
Mwenyekiti wa mamlaka ya mji mdogo wa Iwawa ambaye pia ni mwenyekiti wa mtaa wa Dombwela Joseph Mbilinyi amesema tukio limetokea usiku wa kuamkia January 8,2024 ambapo alifika nyumbani kwa mtuhumiwa mara baada ya kupigiwa simu na majirani na kumkuta Kyando akiwa na Panga jambo lililomfanya apige simu Polisi ili kuomba msaada.
View attachment 2866247
"Baada ya Polisi kuja alikuwa ameshamuua mkewe na kumuweka kwenye mfuko wa kisarufeti na kwenda kutupa kwenye mto,kwenye uwanja wake tuliuona Moyo wa mwanadamu ndio tukaanza kufuata kwenye mto kwasababu alikuwa anavuta sarufeti lakini kufika kwenye mto tukaona kisarufeti kinaelea kwenye maji tukakiopoa na kuendelea kufuata tena mto tukakiona kiungo kingine ambacho ni ubavu upande wa titi na shingo nacho tukakiopoa tukaanza kutafuta kichwa ambacho kimetusumbua kwa muda mrefu"amesema Mwenyekiti

Mkuu wa Polisi wilaya ya Makete mrakibu mwandamizi wa Polisi Assel Mwampamba amesema tukio hilo si la kawaida na kutoa ushauri kwa wananchi kujenga utamaduni wa kuwa na namba za jeshi la Polisi ili kuepusha madhara yanayoweza kujitokeza "Hili lingezuilika sasa ametoka na Panga mkakimbia wote na wanaume acheni uwoga yaani mtu yuko mmoja anacharanga mtu ninyi mmekimbia mngekuwa mnamrushia mawe asingeendelea kukata mtu pale"
View attachment 2866246
Kwa upande Mkuu wa Upelelezi mkoa wa Njombe Mrakibu wa Polisi Joseph Malongo akizungumza kwa niaba ya Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe mara baada ya kufika eneo la tukio amesema kuwa ni lazima mtuhumiwa aweze kuchukuliwa sheria "Niwape pole kwa niaba ya Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe,mwenzetu bwana Juma amejichukulia sheria mkononi jeshi la Polisi lazima tumchukulie hatua stahiki na tumpeleke Mahakamani haraka iwezekanavyo"

Medrick Kyando ni ndugu wa Mtuhumiwa wa mauaji ya mkewe pamoja na baadhi ya majirani wamesema Kyando ni fundi wa kujenga alikuwa hana makundi pia hana historia ya kuwa na matatizo ya akili na alikuwa anaishi vizuri na mke wake lakini wanashangaa kuona ametekeleza tukio hilo la kikatili lililowashtua ambapo kwa sasa anaacha watoto wadogo watatu akienda Polisi na mkewe akiwa amefariki.
Wanaosababisha haya mauaji yashamiri ni polisi
Kesi nyingi zinaripotiwa polisi lakini wanakwepa jukumu la kuzuia madhara zaidi.

Kuna issues kama tatu hivi nazijua, wahanga wameripoti polisi wakakutana na mizengwe na hakuna hatua zilizochukuliwa.

Inauma sana kuona mauaji baina ya wanandoa yanashamiri now adays
 
So kwa upande wa pili hatujui story ilikuwaje kiuhalisia ,ila wanawake wa sasa ,wengi hawajui jinsi ya kutumia midomo yao na kuishi na mwanaume , unakuta anamjibu mwanaume as if anaongea na mpuuzi mwenzake ,hapo lazima uamshe mashetani yaliyopo kwenye kichwa cha mwanaume Rijali wa kiAfrica ,kiufupi unakuwa umeyatimba , midomo ya wanawake imekuwa chanzo kikubwa cha uharibifu na majanga ndani ya ndoa
Sijui hawafundwi ?
Au ndio akili zao zimeshaharibiwa na maisha wanayoyaona kwenye movies na series za Hollywood ? Na kutaka kureplicate katika maisha ya kiAfrica ,kitu ambacho hakiwezekani
Kiufupi hili ni bomu
 
Aisee ndoa ni changamoto sana kwa sasa , kuna mtu aliandika uzi humu kwamba ametukana na mke wake tusi zito ,mke wake akimtukana ":unadhani mimi nafirwa kama wewe ? "
Yeye anadai hii ni baada ya kumuuliza mbona umechelewa ,ulikuwa wapi ?
Huyo mkewe ndio kamjibu hivyo
Sasa najaribu kufikiria kama mtu mwenye hasira za karibu kama mimi ,aisee yawezekana ningefanya kama alichofanya huyu jamaa wa Njombe
Imagine una mke kichwa panzi kama huyo ,kwanini usiende kununua panga na gunia la mkaa kuja kumfanya nyamachoma ?
Tunaishi nyakati mbovu sana wakuu ,Mungu tu atusaidie
Ndoa changamoto

Ova
 
Alimkosea nini kikubwa namna hiyo mpaka amcharange namna hiyo?
Nimeogopa!
Hata wewe the bold kakuvumilia tu, ukikutana na mtu na mood zake unamletea usister duu na kujikuta umempotezea rasimali muda plus mood, unachabangwa
 
Inawezekana pisi ilikuwa inamjibu sheet jamaa,kumletea dharau
Mwamba kachoka kavurugwa kachizika
Mambo ya ndoa ya mabalaa sana
Mkuchokana ni off off tu
Bora kila mtu achukue 50 zake

Ova
Daah kweli wahuni wanachizika kweli maana mpaka amefikia kuchinja pisi yake...
 
Kama Movie la kizombi nikitengeneza video ya tukio kichwani.
Huo ndo uanaume ila uanaume halisi ni kuKATAA NDOA tu,
 
Back
Top Bottom