Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Kipara kipya kimejaza matopeWeka jibu unaloona linafit hapo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipara kipya kimejaza matopeWeka jibu unaloona linafit hapo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahNilisema baada ya lile tukio la Geita lazima Njombe walipe. Hawatakagi kukaa kizembe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe mwerevu kawape werevu wabena wenzako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda PEPO LA KIMASKHARA.
Lawama zote upewe wewe kwa kusababisha haya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe kila kitu unataka kuingiza siasa ina maana huo ugumu wa maisha upo njombe tuu?
Kuwa makini na penzi lako jipya dadangu.Alimkosea nini kikubwa namna hiyo mpaka amcharange namna hiyo?
Nimeogopa!
Hivi hapa Tanzania kuna mikoa iliyolaanika zaidi ya Njombe, Mbeya, na Iringa? Kila kukicha ni wao tu wakisaidiwa kwa mbali na ndugu zao wa Mara na GeitaTumaini Luvanda (35) mkazi wa Dombwela wilaya ya Makete mkoani Njombe ameuawa kwa kukatwa na panga vipande kisha kutenganishwa kichwa na kiwiliwili na baadhi ya viungo kutupwa kwenye mto jirani na nyumbani katika eneo la Kabinda wilayani humo ambapo tayari Polisi inamshikilia Juma Kyando (36) ambaye ni mume wa Tumaini (Marehemu) kwa tuhuma za kuhusika na mauaji hayo.
View attachment 2866248
Mwenyekiti wa mamlaka ya mji mdogo wa Iwawa ambaye pia ni mwenyekiti wa mtaa wa Dombwela Joseph Mbilinyi amesema tukio limetokea usiku wa kuamkia January 8,2024 ambapo alifika nyumbani kwa mtuhumiwa mara baada ya kupigiwa simu na majirani na kumkuta Kyando akiwa na Panga jambo lililomfanya apige simu Polisi ili kuomba msaada.
View attachment 2866247
"Baada ya Polisi kuja alikuwa ameshamuua mkewe na kumuweka kwenye mfuko wa kisarufeti na kwenda kutupa kwenye mto,kwenye uwanja wake tuliuona Moyo wa mwanadamu ndio tukaanza kufuata kwenye mto kwasababu alikuwa anavuta sarufeti lakini kufika kwenye mto tukaona kisarufeti kinaelea kwenye maji tukakiopoa na kuendelea kufuata tena mto tukakiona kiungo kingine ambacho ni ubavu upande wa titi na shingo nacho tukakiopoa tukaanza kutafuta kichwa ambacho kimetusumbua kwa muda mrefu"amesema Mwenyekiti
Mkuu wa Polisi wilaya ya Makete mrakibu mwandamizi wa Polisi Assel Mwampamba amesema tukio hilo si la kawaida na kutoa ushauri kwa wananchi kujenga utamaduni wa kuwa na namba za jeshi la Polisi ili kuepusha madhara yanayoweza kujitokeza "Hili lingezuilika sasa ametoka na Panga mkakimbia wote na wanaume acheni uwoga yaani mtu yuko mmoja anacharanga mtu ninyi mmekimbia mngekuwa mnamrushia mawe asingeendelea kukata mtu pale"
View attachment 2866246
Kwa upande Mkuu wa Upelelezi mkoa wa Njombe Mrakibu wa Polisi Joseph Malongo akizungumza kwa niaba ya Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe mara baada ya kufika eneo la tukio amesema kuwa ni lazima mtuhumiwa aweze kuchukuliwa sheria "Niwape pole kwa niaba ya Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe,mwenzetu bwana Juma amejichukulia sheria mkononi jeshi la Polisi lazima tumchukulie hatua stahiki na tumpeleke Mahakamani haraka iwezekanavyo"
Medrick Kyando ni ndugu wa Mtuhumiwa wa mauaji ya mkewe pamoja na baadhi ya majirani wamesema Kyando ni fundi wa kujenga alikuwa hana makundi pia hana historia ya kuwa na matatizo ya akili na alikuwa anaishi vizuri na mke wake lakini wanashangaa kuona ametekeleza tukio hilo la kikatili lililowashtua ambapo kwa sasa anaacha watoto wadogo watatu akienda Polisi na mkewe akiwa amefariki.
Kizazi hiki kimezidi kuchepuka na kuchapianaHiki kizazi chetu sijui hata kina nini. Ni kama vile uzao wa 80 kuja juu ni kama kuna laana imepita.
Nawaza kama wazazi wetu na sisi wangekuwa na fikra na maamuzi kama ya kizazi hiki sijui hata kama wengi wetu tungezaliwa.
Uliza tena mikoa yenye waislam ni nadra sana kusikia huu unyama ,halafu utasikia wasiojielewa humu oh waislam wanawaza kuua sijui nini..Tatizo ni Mkoa au Ndoa?
Mimi hata sina mambo mengi ndugu yangu, nimetulizana na shemeji yako huyohuyo mmoja.Kuwa makini na penzi lako jipya dadangu.
Umeridhika?Kipara kipya kimejaza matope
Tujifunzi kuwaacha wapenzi wetu waende kwa amani. Hakuna hati miliki ya binadamu.Aisee ndoa ni changamoto sana kwa sasa , kuna mtu aliandika uzi humu kwamba ametukanwa na mke wake tusi zito ,mke wake akimtukana ":unadhani mimi nafirwa kama wewe ? "
Yeye anadai hii ni baada ya kumuuliza mbona umechelewa ,ulikuwa wapi ?
Huyo mkewe ndio kamjibu hivyo
Sasa najaribu kufikiria kama mtu mwenye hasira za karibu kama mimi ,aisee yawezekana ningefanya kama alichofanya huyu jamaa wa Njombe
Imagine una mke kichwa panzi kama huyo ,kwanini usiende kununua panga na gunia la mkaa kuja kumfanya nyamachoma ?
Tunaishi nyakati mbovu sana wakuu ,Mungu tu atusaidie
Aisee ndoa ni changamoto sana kwa sasa , kuna mtu aliandika uzi humu kwamba ametukanwa na mke wake tusi zito ,mke wake akimtukana ":unadhani mimi nafirwa kama wewe ? "
Yeye anadai hii ni baada ya kumuuliza mbona umechelewa ,ulikuwa wapi ?
Huyo mkewe ndio kamjibu hivyo
Sasa najaribu kufikiria kama mtu mwenye hasira za karibu kama mimi ,aisee yawezekana ningefanya kama alichofanya huyu jamaa wa Njombe
Imagine una mke kichwa panzi kama huyo ,kwanini usiende kununua panga na gunia la mkaa kuja kumfanya nyamachoma ?
Tunaishi nyakati mbovu sana wakuu ,Mungu tu atusaidie
So kwa upande wa pili hatujui story ilikuwaje kiuhalisia ,ila wanawake wa sasa ,wengi hawajui jinsi ya kutumia midomo yao na kuishi na mwanaume , unakuta anamjibu mwanaume as if anaongea na mpuuzi mwenzake ,hapo lazima uamshe mashetani yaliyopo kwenye kichwa cha mwanaume Rijali wa kiAfrica ,kiufupi unakuwa umeyatimba , midomo ya wanawake imekuwa chanzo kikubwa cha uharibifu na majanga ndani ya ndoa
Sijui hawafundwi ?
Au ndio akili zao zimeshaharibiwa na maisha wanayoyaona kwenye movies na series za Hollywood ? Na kutaka kureplicate katika maisha ya kiAfrica ,kitu ambacho hakiwezekani
Kiufupi hili ni bomu
Hata wewe the bold kakuvumilia tu, ukikutana na mtu na mood zake unamletea usister duu na kujikuta umempotezea rasimali muda plus mood, unachabangwa
Ugomvi wa mapenzi ni wa kukaa nao mbali kabisa.
Unaweza ukaingilia ukaumizwa then baada ya muda watu wanarudiana na maisha yanaendelea kama kawaida
najiuliza pia, ila siko tayari kukubaliana na sababu yoyote kupelekea hatua ya bwana KyandoAlimkosea nini kikubwa namna hiyo mpaka amcharange namna hiyo?
Nimeogopa!
Sio mkoa wa Mara tena 😁Huo Mkoa una watu wavuta bangi vibaya mno ndio shida hiyo.
NdioUmeridhika?
Mkuu usibishane na asili, ni ukweli mtuptu wanawake wana midomo mirefu, ukibisha kwa hili "hongera" unathibitisha urefu wa midomo yenu lakini pia unathibitisha ufinyu wa hoja zenu.Halafu mnasema wanawake wanamidomo?! Hii ni nini? Dustbin?