Njombe: Mfanyabiashara aliyevamiwa na kujeruhiwa afariki dunia

Kuku alidonoa punje ngapi za mahindi?
 
RIP mfanyabiashara...najiuliza tuu karne ya leo ambapo mifumo ya kibenki na Mpesa iko every where mtu anaondokaje dukani na 47milion Cash??
Inaonekana jamaa hata hujajisumbua kusoma taarifa na michango ya members wenzako we umekimbilia tu ku comment. Ngoja nikusaidie maana hata shule/vyuoni Kuna watu hawakutoboa bila kuegezea. Huyo mhanga ni mfanyabiashara wa fedha za mitandao ya simu, na icho kiasi cha pesa kilichopelekea auwawe ni mtaji/mauzo yake ya siku, sasa swali lako la sijui angeweka mpesa au bank limekufa.
 
Apumzike kwa Amani ndugu yetu.. Kufanya biashara ya miamala bora uwe na float nyingi kuliko Cash..!! Yanii huyu itakuwa kuna mtu alimchoreshaaa.. Dunia haipo fair ukiwa maskini tabu Ukipata helaa pia tabuu daah.
 
😀😀yupo stable sana mke wake nurse. japo kifo hakizungumzi ila mjomba najua kawaacha vizuri sana familia sasa hio ni 47m in cash ushawahi waza bank ana shilingi ngapi
We acha tu Maisha ni fumbo zito sana kwa hio 47M zimemchukua Jamaa na hapo utakuta alikua hataki kuachia maana wale mabwana wakikutaiti ukiwa Mbishi ndio kwakheri
 
Apumzike kwa Amani ndugu yetu.. Kufanya biashara ya miamala bora uwe na float nyingi kuliko Cash..!! Yanii huyu itakuwa kuna mtu alimchoreshaaa.. Dunia haipo fair ukiwa maskini tabu Ukipata helaa pia tabuu daah.
Noma sana ukiwa Tajiri inabidi uwe na Watu wengi wanaokulinda usiishi kizembe ili ufe kizembe
 
Hakuna kitu kama hicho.

Mpaka leo madukani Ulaya kuna ma cash register chungu nzima, na foleni ya cash ni ndefu kuliko electronic.

Ukisema hupokei cash hakuna mtu atakuja na hata huko Ulaya sijawahi kuona biashara inakataa cash money.
Umeishi ulaya nchi gani?
 
Hakuna kitu kama hicho.

Mpaka leo madukani Ulaya kuna ma cash register chungu nzima, na foleni ya cash ni ndefu kuliko electronic.

Ukisema hupokei cash hakuna mtu atakuja na hata huko Ulaya sijawahi kuona biashara inakataa cash money.
Cash money Ulaya sio kama kwetu. Nilikua Ulaya last month, yaani almost kila mtu anatumia card.
 
Ifikie wakati sasa tuende na mfumo wa Cashless, huko ni salama zaidi kwa fedha na UHAI wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…