mshamba_mwingine
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 1,057
- 4,145
wala usiwe na harakaHahahaha visa vinatisha bwan,, kuanzia cha yule jamaa wa tale,,bibi wa idundilanga......watu kufa wakiwa wanaota moto ndani balaa tupu🙌🏾
fungua thread siku moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wala usiwe na harakaHahahaha visa vinatisha bwan,, kuanzia cha yule jamaa wa tale,,bibi wa idundilanga......watu kufa wakiwa wanaota moto ndani balaa tupu🙌🏾
Nimesoma hiyo habari sijaona waliposema mauzonya mil 45 kwa siku. Alafu biashara ya miamala hayo mauzo ya mil 45 ndio nn? Tumia akiliWewe itakuwa ni mmoja wa majambazi maana unajua ni mauzo ya siku ngapi na ndipo ukamvizia 🤣🤣🤣
Weeee kipaji ikowala usiwe na haraka
fungua thread siku moja
Kumbe ni biashara za miamala!!Nimesoma hiyo habari sijaona waliposema mauzonya mil 45 kwa siku. Alafu biashara ya miamala hayo mauzo ya mil 45 ndio nn? Tumia akili
Pia wenye hizo biashara za miamala pesa huondoka nazo, hawezi kuacha hapo kibandani/fremu. Wengi huondoka nazo wanapofunga
Ni wa miamala ya simuKumbe ni biashara za miamala!!
Nilikuwa najua ni mfanyabiashara wa bidhaa mchanganyiko
That argument is moot. The reverse is true, infact the government will have more oversight with a cashless economy (which is bad thing BTW).With CCM governance and mwiguluconomic policies am not sure we have anywhere to go.
The government hates digital economy because they don't have a hold on it when it comes to their personal interest.
Jamaa alikuwa anakaa uzunguni ipi ya ramadhani au ya mjini (nyamyuya?)rudi tu ndugu,, nyumbani ni nyumbani,sie tunakomaa kibabe
RamadhanJamaa alikuwa anakaa uzunguni ipi ya ramadhani au ya mjini (nyamyuya?)
Vipi fununu za kisasi!?ni kweli,,alikua wakala mkubwa sana mjini,kwa banks zote na mitandao yote ya cm.
SAA mbili usiku!??saa mbili na nusu usiku wakati akitoka kwenye shughuli zake
mazoea hujenga tabia..SAA mbili usiku!??
Hatari.
Alijiamini Nini!??
Tusubirie Police.The dead dont speak
Kivipi,hayo ni makusanyo ya wikiKumbe njombe kuna pesa aisee.. yaan hayo ni mauzo ya siku 1 Tuu ,
🤔
Mmh kuna za chini chini zimeanza ila hazijaachiwa rasmi nisje yakanyagaVipi fununu za kisasi!?
Poleni.
Tunasubiria..Mmh kuna za chini chini zimeanza ila hazijaachiwa rasmi nisje yakanyaga
Nitarudi tu mwa upete mie niende Wapi wakati kwetu ni nchi ya asali na maziwa!.? Nimetoka hapo mwezi uliopita...ila sio Kwa kipupwe kile 🤔rudi tu ndugu,, nyumbani ni nyumbani,sie tunakomaa kibabe
Na wa 8 ndo wakati wake,,karibuuuuNitarudi tu mwa upete mie niende Wapi wakati kwetu ni nchi ya asali na maziwa!.? Nimetoka hapo mwezi uliopita...ila sio Kwa kipupwe kile 🤔