Njombe: Mfanyabiashara aliyevamiwa na kujeruhiwa afariki dunia

Njombe: Mfanyabiashara aliyevamiwa na kujeruhiwa afariki dunia

Hela zote hizi zinarudishwa nyumbani kufanya nini?

Any way R.I.P kaka, ulikuwa ushatoboa😭😭😭
Inaonekana ulikuwa ndiyo utaratibu wake kumbe watu walikuwa wanamlia timing. Duania ya sasa ni kosa kubwa kufanya kitu kama hiki. Nakumbuka miaka ya nyuma nilifuatiliwa na watu wakati nilipopitia dukani kwa ndugu yangu jioni wakati anafunga, akanipa bahasha yenye vitabu vya risiti nimsaidie kupeleka nyumbani. Niliondoka na kupitia bar kupata moja. Walikuwa na demu moja mkali akawa anajigonga kwangu ili aniwekee dawa za usingizi kwenye bia.
 
Vyombo vyetu vya usalama sijui huwa vinatumia akili gani pale vinapotoa ushauri wa kiusalama as if majambazi watarajiwa hawajui kusoma na kuandika.

Sasa anavyotoa rai kwa wafanyabishara kufunga cctv camera maeneo ya ofisi zao, inamaana majambazi hawapati hiyo taarifa?

Kwani wakiamua kujifunika uso mtawaona. Au wakiamua kuchukua ushahidi.
 
njombe nilikuwa napachukulia poa ila ni sehemu hatari

nasikia kuna tajiri mmoja huko aliitwa bomoa, alikuwa anateka wasichana mikoani anakuja kuwaweka kwenye danguro lake,

baada ya kufa polisi walichunguza nyumba yake wakakuta alikuwa na chumba cha kuchinjia watu
Kweli? Hebu tupe story zaidi. Mbona kuna mambo ya hovyo sana yanatokea kimya kimya na polisi hawatoi ripoti maalumu
 
Back
Top Bottom