Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Pesa za kipande hizo almaarufu ndumbaKumbe njombe kuna pesa aisee.. yaan hayo ni mauzo ya siku 1 Tuu ,
🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa za kipande hizo almaarufu ndumbaKumbe njombe kuna pesa aisee.. yaan hayo ni mauzo ya siku 1 Tuu ,
🤔
AiseeUkiwa na pesa nyingi kuanzia milioni 100 hama kwenye Miji midogo ni hatari Kwa usalama wako.
Kweli aisee .. M45 kwa siku? Sema huyu hana ndumba , Machale yangemchezaPesa za kipande hizo almaarufu ndumba
Mfanyabiashara Maarufu mjini Njombe bwana Godfrey Ndambo amevamiwa na kujeruhiwa vibaya na watu Wasiojulikana usiku wakati akirenea nyumbani kwake ambapo baadae alifariki kutokana na majeraha hayo,Polisi wamethibitisha.
Baada ya kuvamiwa walimpora pesa kiasai Cha Milioni 47 na kutokea kusikojulikana.Polisi wanaendelea na uchungywa.msako.
View: https://www.instagram.com/p/C9uimIstI2D/?igsh=MTcyb3F5d3hyancydQ==
My Take
Ni very risk kutembea na pesa nyingi kiasia hicho,unakwepa TRA huku unahatarisha maisha Yako.
R.I.P mpambanaji Ndambo sijui kama ndio yule wa Ndambo Construction au ni ukoo tuu.
Kweli aisee .. M45 kwa siku? Sema huyu hana ndumba , Machale yangemcheza
Anhaa .. Bhasi R.I.P kwakeHizo ni 40 zake, baada ya hapo biashara na mali zake zote zitapotea
Nahisi alikuwa anajihusisha na miamala ya benki na mitandao ya simu, na huenda ni makusanyo ya siku kadhaa. Wahuni huwa wanatabia wakijua una circulation nzuri ya pesa wanakuja kuweka hard cash nyingi ili iwe rahisi kwao kukufanyia umafia coz wanajua una cash on hand kiasi cha kutosha.Kweli aisee .. M45 kwa siku? Sema huyu hana ndumba , Machale yangemcheza
ni kweli,,alikua wakala mkubwa sana mjini,kwa banks zote na mitandao yote ya cm.Nahisi alikuwa anajihusisha na miamala ya benki na mitandao ya simu, na huenda ni makusanyo ya siku kadhaa. Wahuni huwa wanatabia wakijua una circulation nzuri ya pesa wanakuja kuweka hard cash nyingi ili iwe rahisi kwao kukufanyia umafia coz wanajua una cash on hand kiasi cha kutosha.
Very sadInside job. Halafu waliomvamia utakuta wako zaidi ya 10 na waliochora. Kwa iyo watagawana million mbili mbili. Baada ya kumdhulumu nafsi.
Hela ya hivi huwa haina la maana mtu atafanyia. Unakuta miongoni mwao kuna wengine washaanza kula k vant, kuchoma mbuzi na kununua K hata week haimalizi, huku wamegharimu uhai wa mzazi, mtoto au ndugu wa mtu na wanamtegemea. Inasikitisha sanaInside job. Halafu waliomvamia utakuta wako zaidi ya 10 na waliochora. Kwa iyo watagawana million mbili mbili. Baada ya kumdhulumu nafsi.
DuuuPesa bana unatafuta kwa shida
kumbe ndo kifo chako!!
Unajibana wee unanunua gari linakuua
Unajibaa wee majambazi yanaua
Unajibana wee ukizipata unaanza kula freshi kumbe unatengeneza presha na sukari unakufa😂😂
Unajibaana wee ukiomba Mungu uzipate, ukizipata unajisahau na kusema hakuna mungu, unakufa 😂
Mgerasi ndo maana jana nilimuona La Quica nikiwa kwenye msafara wa naibu waziri mkuuMkaldayo kuna mikoa ambayo kuuwawa ni rahisi sana yani watu ni kama wana roho za kishetani. Mikoa kama Geita hivi huwezi pita mwezi hujasikia mtu kachinjwa
Wapi wamesema ni mauzo ya siku 1?Hizo pesa za ndagu hao wahuni hazitawasaidia.
Million 47 hayo ni mauzo ya siku 1.
Sijui anauza nini kwenye hizo fremu
Ndio mtu gani huyo?Mgerasi ndo maana jana nilimuona La Quica nikiwa kwenye msafara wa naibu waziri mkuu