Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Poleni Sana wananjombe 😎kesho tunazika kata ya ramadhan mtaa wa uzunguni,, mengine waachie polisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleni Sana wananjombe 😎kesho tunazika kata ya ramadhan mtaa wa uzunguni,, mengine waachie polisi
AsantePoleni Sana wananjombe 😎
Nyumbani Nako kumechangamka mpaka naogopa kurudi yaanikesho tunazika kata ya ramadhan mtaa wa uzunguni,, mengine waachie polisi
Wewe itakuwa ni mmoja wa majambazi maana unajua ni mauzo ya siku ngapi na ndipo ukamvizia 🤣🤣🤣Wapi wamesema ni mauzo ya siku 1?
rudi tu ndugu,, nyumbani ni nyumbani,sie tunakomaa kibabeNyumbani Nako kumechangamka mpaka naogopa kurudi yaani
ndo hayo tu nilihadithiwa na mwenyejiKweli? Hebu tupe story zaidi. Mbona kuna mambo ya hovyo sana yanatokea kimya kimya na polisi hawatoi ripoti maalumu
sikatai ila mkuu kuna kaunafuu kidogo kuliko ushuke au usubirie getini alafu ukiwa na pesa ipo mifumo mingi sana ya kukulinda..... nitashangaa sana jamaa kama hakuwa na hata ka shot gunWezi wakitaka kukushambulia hawashindwi. Kwani ukifungua na remote si wanangoja tu uingie wanazama na wewe.
inataka kufanana na ya yule jamaa alokua anateka mabinti anawabaka akichoka anachukua magunzi/mabunzi na matango,,aliwanyonya chuchu hadi zinakatika mbwa yulenjombe nilikuwa napachukulia poa ila ni sehemu hatari
nasikia kuna tajiri mmoja huko aliitwa bomoa, alikuwa anateka wasichana mikoani anakuja kuwaweka kwenye danguro lake,
baada ya kufa polisi walichunguza nyumba yake wakakuta alikuwa na chumba cha kuchinjia watu
Hii mpyainataka kufanana na ya yule jamaa alokua anateka mabinti anawabaka akichoka anachukua magunzi/mabunzi na matango,,aliwanyonya chuchu hadi zinakatika mbwa yule
wakifa anafunga kwenye mfuko kutupa mtoni.
njombe?inataka kufanana na ya yule jamaa alokua anateka mabinti anawabaka akichoka anachukua magunzi/mabunzi na matango,,aliwanyonya chuchu hadi zinakatika mbwa yule
wakifa anafunga kwenye mfuko kutupa mtoni.
kilimani au kihesa huku aseee,,kukamatwa kujieleza alipewa mashart na mganga na alkua anashirikiana na mwenye nyumba wakeHii mpya
Alikuwa kona zipi huyo
Wakinga/ Wabena ni watu wa kufanya biashara za masharti ya kishirikina. Siku hizi kuna lipa Namba kwa mtandao lakini Wakinga awanataka cash money. Ndiyo masharti yenyewe ngoja tusikie zaidiMfanyabiashara maarufu Mjini Njombe, Godfrey Ndambo (45) ambaye ni Mkazi wa Uzunguni Kata ya Ramadhan Wilaya na Mkoa wa Njombe amefariki wakati akipata matibabu mara baada ya kuvamiwa na Majambazi waliompiga na kitu kizito kichwani nje ya geti wakati akiingia nyumbani alipokuwa akitoka kazini kwake na kisha wakaondoka na Tsh. milioni 47 ambazo alitoka nazo dukani kwake.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe Mahamoud Banga amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo amesema Mfanyabiashara huyo alivamiwa July 20,2024 saa mbili na nusu usiku wakati akitoka kwenye shughuli zake za biashara ambapo mpaka sasa Jeshi la Polisi linaendelea na upelelezi juu ya tukio.
“Ndambo alivamiwa wakati anatoka kwenye shughuli zake za biashara wakati anaingia getini na kupigwa na kitu kizito kichwani na waliompiga ambao bado hatujajua idadi yao waliweza kutoweka na fedha ambazo zinakadiriwa kuwa ni Tsh. milioni 47 kulingana na taarifa tulizozipata kutoka katika biashara yake ya hesabu zilizofungwa lakini majeruhi alitibwa katika Hospitali yetu ya Kibena na baadaye alihamishiwa Mkoa wa Mbeya na wakati matibabu yanaendelea akafariki”
RPC Banga ametoa wito kwa Wafanyabiashara ambao wamefunga CCTV camera, muda wote ziwe zinafanya kazi ili kusaidia pia katika uchunguzi kwa kuwa kutokana na tukio hilo wamepata changamoto maana camera ndani ya nyumba ya Mfanyabishara huyo hazifanyi kazi kwa kuwa zilikuwa zimezimwa huku pia akiwaomba wanaofanya shughuli za biashara ya fedha kuweka fedha zao benki kuliko kurudi na fedha nyumbani.
#MillardAyoUPDATES
View attachment 3049165
Imenikumbusha Prof mmoja naye alifanyiwa hivi, yeye alikuwa na bahasha yenye scripts za wanafunzi, akategwa akalala, wakachukua bahasha, kwenda kufungua wakakuta ni mitihani, wakatupa huko, kesho yake Prof hana script hata mojaNiliondoka na kupitia bar kupata moja. Walikuwa na demu moja mkali akawa anajigonga kwangu ili aniwekee dawa za usingizi kwenye bia.
Ulikuwa utajiri wa ndagu huonjombe nilikuwa napachukulia poa ila ni sehemu hatari
nasikia kuna tajiri mmoja huko aliitwa bomoa, alikuwa anateka wasichana mikoani anakuja kuwaweka kwenye danguro lake,
baada ya kufa polisi walichunguza nyumba yake wakakuta alikuwa na chumba cha kuchinjia watu
Ndio njombe na mbaya zaidi mtaani kwangu uuuiiiinjombe?
kumbe we mwenyeji?Ndio njombe na mbaya zaidi mtaani kwangu uuuiiii
Mungu awalaani kabisakilimani au kihesa huku aseee,,kukamatwa kujieleza alipewa mashart na mganga na alkua anashirikiana na mwenye nyumba wake
mwenye nyumba alkua mwanamke,,walvoshtukiwa mwenye nyumba akajidai nayeye mhanga,,kupelekwa hospital mda wa folen akakimbi
yule kijana alipokonywa cm zkaonekana mesej zao
Kama Hadi Kwa Yesu watu waliuza nyaraka, ndio washindwe Kwenye biashara!?Kuna mtu wake kauza nyaraka
Hahahaha visa vinatisha bwan,, kuanzia cha yule jamaa wa tale,,bibi wa idundilanga......watu kufa wakiwa wanaota moto ndani balaa tupu🙌🏾kumbe we mwenyeji?
haya tupe visa
Mwanamke alikimbia,,kijana yupo ndani ila alitandikwaaaMungu awalaani kabisa