Njombe: Mtoto wa Miaka 12 akamatwa kwa tuhuma za kumlawiti Mtoto wa Miaka 10 kiasi cha kumuharibu

Mimi ninakuelewa mkuu.
Kikubwa haya mambo yachunguzwe ikiwa ni pamoja na kuhusisha wataalamu wengine km wanasaikolojia ya uharifu km lilivyo pendekezo lako.
 
Mimi ninakuelewa mkuu.
Kikubwa haya mambo yachunguzwe ikiwa ni pamoja na kuhusisha wataalamu wengine km wanasaikolojia ya uharifu km lilivyo pendekezo lako.
Kabisa Mkuu. Kuna mtu walihukumiwa miaka 30 jela kwa kosa la ubakaji baadae ikaonekana alitajwa na binti sababu ni jirani yao. Haya mambo ni magumu sana na kuna watu wanatumia ugumu wake kukomoa wengine.

Arusha huko Monduli wazee wanapewa kesi za kubaka au kulawiti wajukuu zao, kisa hawafi vijana wauze maeneo ya ardhi. Mzee anakimbizana na kesi Mahakama hadi siku akitulia watu washauza eneo na kupotea.
 
Duh!
Mbona hatari kubwa sana hii!

Tumefika huko kweli,hawa vijana vipi tena?

Na tutarajie hizo tabia za hao vijana wa Monduli kusambaa kote nchini.
 
Mh Gwajima asbh nilikuwambia Twitter huko kuwa paleka mswaada bungenii sheria ibadilishwe hawa walawiti na wabakaji nao wanapewa dhamana

Ibadilishwe hi kitu taifa litakuja kuwa la walawiti
Hizo ni tuhuma kumbuka hata wewe unaweza kutuhumiwa siku moja
 
WAFWAFUMIE FAMILLY VIZURI WAZAZI WAOO WATAKUWA NA MAJANGA KAMA HAYA
 
Dogo achunguzwe bila shaka anadamu ya kichaga ...Anyway Tigo weekend hii wanakupa Gb za kumalizia weekend 👇🏻

Kwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.



1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)

2. Ingia Invite & Earn

3. Bonyeza Redeem

4. Weka hii code 2ZJVO8ZK

Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…