Njombe: Wanafunzi watoro walipishwa Tsh. 5,000 kwa kila siku wasiyofika shuleni

Njombe: Wanafunzi watoro walipishwa Tsh. 5,000 kwa kila siku wasiyofika shuleni

Na ili mzazi afanye Majukumu yake lazma awekewe mkakati wa kumlazimisha afanye kazi yake. Kwanin mtoto asiende shule? Kama Kuna dharura kwanini asiombewe ruhusa? Hiv makazini kwetu tunaweza kuacha kwenda siku nzima bila kutoa taarifa au vile wazazi hawajui umuhim wa elimu. Hata huyo mbunge wao alipaswa kwanza kukemea utoro wa watoto. Na Kama mbunge kaumia Sana alipaswa kujitolea kuwalipa hao walimu wa kujitolea. Vinginevyo watoro wasiopenda shule wawasomeshe wanaopenda shule Kama inawauma wabadilike au waache shule kabisa hapo shule itabidi watafute namna nyingine ya kupata hela Ila angalau tatzo la utoro limeisha.
Wazazi wana majukumu mengine pia na sio kufuatilia mtoto muda wote.
Sio kila mtu ana maisha ya kazi yaani kwenda na kurudi then mwisho wa mwezi mshahara, hapana.
Bali toka uende ukatafute au familia ilale njaa.

Unadhani mzazi wa hivyo atapata wapi muda wa kuangalia mtoto?
Unatakiwa ujue this isn't america bali ni nchi iliyojaa masikini na ndio maana hao watoto wapo kata.

Walimu kujitolea sio kitu kibaya lakini wanatakiwa wajue again this isn't america bali hii ni nchi ambayo wananchi asilimia kubwa ni masikini na watu kwa siku wanashindia chini ya nusu dollar wewe unategemea nini hapo?
Na ndio sababu watoto wao wapo kata.
Hivyo ni lazima wapinge hicho kitu kivyovyote vile.

Hili la kulipa walimu na kuajiri ni jukumu la serikali na sio wananchi.
Mwananchi analeta mtoto wake shule ya kata sababu hana pesa sasa ukianza kumcharge pesa kwa sababu ya utoro kitu ambacho ni nonsense even to think about it lazima ajiulize what the hell is happening here.

Sababu kama wangekuwa na pesa basi watoto wao wangekuwa wanapanda basi la njano kwenda private school.

Na hili la kulipa pesa sababu ya utoro litachochea utoro mara mbili na watoto wengi wataacha shule kwenda mitaani, kumbuka hao ni watoto na wanatakiwa kurekebishwa au umuache shule labda baadae akikua atabadirika kutokana na exposure.
Considering tatizo la utoro halimuathiri yoyote zaidi ya mlengwa which is not sensible ukisema "kutatua tatizo la utoro".

Umejiuliza nini kitatokea in 20 years kwa hao watoto wa kike na wakiume walioacha shule?

Ni Anarchy and Chaos.
 
Mimi nashauri mtoto mtoro shuleni afunguliwe kesi ya uhujumu uchumi na faini ya shilingi laki moja kila siku.
 
unataka kumaanisha Nini kwa mfano?
If I'm not mistaken. I remembered you said that you're really good in English because your English teacher was a bitter and a real stick in the mud.

So I asked where did all that get you?
You know I expected you to answer my question in English but you didn't.

So as far as I'm concerned all of that didn't get you anywhere.
 
If I'm not mistaken. I remembered you said that you're really good in English because your English teacher was a bitter and a real stick in the mud.

So I asked where did all that get you?
You know I expected you to answer my question in English but you didn't.

So as far as I'm concerned all of that didn't get you anywhere.
Mkuu hapo sio bitter Kama pilipili
Halafu kingine huyo mwalimu hakutufundisha English Ili tubattle na mtu just experience na tujue kusoma mabango na road sign tu mkuu sipendi tufike Huko maana tutakimbiana humu!
😁😁😁😁
 
Tsh 10,000 ni nyingi sana . Kumbuka shule inawanafunzi zaidi ya 400 . Wanafunzi 400*10,000. Na je mwalimu mmoja kwa mwaka analipwa sh ? Walimu wapo wawili tu. Bado kuna hela za watoto kushinda shule. Hapo kuna upigaji mkubwa wa hela. Kama Elimu ni bure hizi ada ni zanini
 
We kuna watoto wengine watukutu, wavuta bangi huoni kwamba mzazi anaonewa hapo? Au umesoma FEZA ndugu
Kuvuta bangi na utukutu hakuwezi kukawa sababu ya kuto kwenda shule na ukachekewa utoro lazima ukomeshwe kwa namna yeyote hata ikibidi kwa gharama, kuto kwenda shule ndio chanzo cha kuongeza div. 0 shulen. Hao wazazi waache kulalamika wawasimamie watoto wao wawe wahudhuriaji wazuri shuleni ili wasikose vipindi na wafanye vyema mitihan
 
Hii sio kuhusu makubaliano.

Hii ni nchi na inaendeshwa na serikali moja na sio kila mtu kuamua anavyotaka.
Walimu wameajiliwa na serikali sio wananchi hivyo ni wajibu wa serikali kulipa walimu na ni wajibu wa walimu kufundisha na sio vinginevyo.
Kama hutaki basi acha kazi.

Wewe umeona nchi gani wanafanya huu utumbo?
Yaan wewe kweli ni mujinga na huelewi kinacho jadiliwa hapa na ujuaji ndio umekujaa
 
Inasaidia kupunguza utoro, na kuwakumbusha wazazi wajibu wao (kuhakikisha mtoto kaenda skonga)
 
Utopolo kama huu huwezi kusikia mikoa ya kaskazini mana wazazi wanajielewa sana. Hawakwepi majukumu.

Sasa nyie mazwazwa msio jielewa ni kutandikwa mikwaju matakoni nyinyi na watoto wenu tena kwenye mkutano wa kijiji ili akili ziwakae sawa.

Waswahili bila kutandikwa mikwaju mambo hayaendi maana akili zimegandamana.

Eti limzazi linatetea utoro wa mwanae.
Tena ningekuwa mimi wallayh ningewalipisha hata elfu hamsini nyambafu
Yeah mkuu hiyo mikwaju utapiga wajinga tu labda kama kazi yako umeichoka then give it a try.

Tell me what're the consequences of that act in 20 years?

I thought tulishatoka huku kumbe bado kuna africans wenye mindset za nyani.

Nguvu nyingi ubongo mdogo.
 
Mkuu nimekupata sana. We una elimu kubwa hakika.
Kuna majitu humu yanajitoa ufahamu kutetea utoro wa watoto wao.

Kwa halinhii elimu itafika lini huko?

Ndio maana nilipendekeza wazazi nao watwngwe mikwaju mitanomitano matakoni ili iwe fundisho
kuna watu hata ukitumia logic kiasi gani hawataelewa! ni kwasababu wameamua katika kufikiria katika mlengo mmoja tu!


waalimu ni watu ambao wana kazi sana hususani pale anapotaka wanafunzi wafaulu!

kuna shule nyingi za serikali saivi waalimu wamekata tamaa yaan mwanafunzi aje au asije hiyo ni juu yake akiingia darasani wanafunzi wameelewa au hawajaelewa watajua wenyewe! maana ukichapa bakora tu! kesi unayo ya kujibu!

Hao waalimu ambao wamefikia hatua ya utoro kulipishwa 5000 ni ili kumuhamasisha mzazikufatilia mwanae! imagine shule ya darasa la 1 mpaka la 7 lenye mikondo miwili kila darasa na kila mkondo una wanafunzi karibu 70-100 halafu waalimu wenyew wako 7 tu, mwalimu ataweza kufatilia maendeleo individually ya kila mwanafunzi!? maanahata huyo mwalimu ana majukumu yake mengine nk!


kama mtu ambae amesoma hizi shule za kijijini, i hope ataelewa kwanini wanafanya hivyo! mwalimu mkuu akiamua kukaa kimya na kukausha hao wanafunzi wataishia kusema tulisoma ila hakuna elimu kichwani!

mimi binafsi nlimaliza darasa la saba hata kuandika tu ilikua mtihani sana maana darasani nlikua siendi na hamna mtu wa kutusimamia na shule maskani kwahyo ilikua uende usiende utajua mwenyewe! ..nwaka unaofata baada ya kumalizala saba mavuno ya mpunga yalitoka vizuri ikabidi nipelekwe hizi private! na nlirudia darasa la 4 imagine umemaliza la 7 unarudi hadi la 4[emoji16][emoji16][emoji16] huko private ndo mpaka namaliza la 7 tena nkawa najua vitu na kung'amua kua mi nlikuaga jembe[emoji16] hata mzazi wangu hakujuta kabisa!

mi nashauri ni sawa tu hiyo tozo ya utoro kua 5000 itahamasisha mzazi afatilie maendeleo ya mwanae kwa umakini! maana bila hvyo mzazi kufatilia maendeleo ya mwanae inakua ni mengineyo!
 
Sasa kama mnakataa elimu nyinyi na watoto wenu kwanini msiendelee kufia kwenye huo umaskini unao usema.

Yaani nyie kazi kutia mimba kufurahia utelezi tu, halafu majukumu yote ya mwanao ikusaidie serikali kweli?

Ukijua kuzaa jiandae na kulea pia.
Wazazi wana majukumu mengine pia na sio kufuatilia mtoto muda wote.
Sio kila mtu ana maisha ya kazi yaani kwenda na kurudi then mwisho wa mwezi mshahara, hapana.
Bali toka uende ukatafute au familia ilale njaa.

Unadhani mzazi wa hivyo atapata wapi muda wa kuangalia mtoto?
Unatakiwa ujue this isn't america bali ni nchi iliyojaa masikini na ndio maana hao watoto wapo kata.

Walimu kujitolea sio kitu kibaya lakini wanatakiwa wajue again this isn't america bali hii ni nchi ambayo wananchi asilimia kubwa ni masikini na watu kwa siku wanashindia chini ya nusu dollar wewe unategemea nini hapo?
Na ndio sababu watoto wao wapo kata.
Hivyo ni lazima wapinge hicho kitu kivyovyote vile.

Hili la kulipa walimu na kuajiri ni jukumu la serikali na sio wananchi.
Mwananchi analeta mtoto wake shule ya kata sababu hana pesa sasa ukianza kumcharge pesa kwa sababu ya utoro kitu ambacho ni nonsense even to think about it lazima ajiulize what the hell is happening here.

Sababu kama wangekuwa na pesa basi watoto wao wangekuwa wanapanda basi la njano kwenda private school.

Na hili la kulipa pesa sababu ya utoro litachochea utoro mara mbili na watoto wengi wataacha shule kwenda mitaani, kumbuka hao ni watoto na wanatakiwa kurekebishwa au umuache shule labda baadae akikua atabadirika kutokana na exposure.
Considering tatizo la utoro halimuathiri yoyote zaidi ya mlengwa which is not sensible ukisema "kutatua tatizo la utoro".

Umejiuliza nini kitatokea in 20 years kwa hao watoto wa kike na wakiume walioacha shule?

Ni Anarchy and Chaos.
 
Utopolo kama huu huwezi kusikia mikoa ya kaskazini mana wazazi wanajielewa sana. Hawakwepi majukumu.

Sasa nyie mazwazwa msio jielewa ni kutandikwa mikwaju matakoni nyinyi na watoto wenu tena kwenye mkutano wa kijiji ili akili ziwakae sawa.

Waswahili bila kutandikwa mikwaju mambo hayaendi maana akili zimegandamana.

Eti limzazi linatetea utoro wa mwanae.
Tena ningekuwa mimi wallayh ningewalipisha hata elfu hamsini nyambafu
Ulichoandika ni Nonsense au naweza sema pumba.
 
Sasa kama mnakataa elimu nyinyi na watoto wenu kwanini msiendelee kufia kwenye huo umaskini unao usema.

Yaani nyie kazi kutia mimba kufurahia utelezi tu, halafu majukumu yote ya mwanao ikusaidie serikali kweli?

Ukijua kuzaa jiandae na kulea pia.
Hivi unatambua kwamba Tanzania nzima ni masikini?

Now stay back and take a shit then say I'll die before I talk.
 
Back
Top Bottom