Njombe: Wananchi washauriwa kutumia baridi kama Utalii wa ndani

Njombe: Wananchi washauriwa kutumia baridi kama Utalii wa ndani

Wakazi wa mkoa wa Njombe wamesema hawajawahi kuishuhudia baridi kali kama hii ya mwaka huu

Wakazi wa mkoa huo wamepunguza muda wa kufanya kazi wakihofia kupatwa na Maradhi

Naye mkuu wa mkoa huo mh Kindamba amesema Baridi hiyo ni fursa kea mkoa huo kutangaza Utalii wa ndani na kuwaalika watu kufanya Utalii wa Baridi ili kuongeza mapato ya Serikali

Source ITV habari
Mungu ibariki Njombe
 
Baada ya miezi tisa toka Sasa serikali iongeze wakunga mkoani Njombe
 
Hivi huu uoga utawaisha lini ninyi vijana wapumbavu(wapambanaji nyuma ya kibao vifungo)
Mtu umesema kaonekana kwa tv anaongea afu eti unamstahi!
 
Wakazi wa mkoa wa Njombe wamesema hawajawahi kuishuhudia baridi kali kama hii ya mwaka huu

Wakazi wa mkoa huo wamepunguza muda wa kufanya kazi wakihofia kupatwa na Maradhi

Naye mkuu wa mkoa huo mh Kindamba amesema Baridi hiyo ni fursa kea mkoa huo kutangaza Utalii wa ndani na kuwaalika watu kufanya Utalii wa Baridi ili kuongeza mapato ya Serikali

Source ITV habari
Hakusema wameanzisha, amewashauri wananjombe waanzishe utalii wa baridi, ni vizuri uandike alichokisema na habari hii iko mtandaoni.
 
Hakusema wameanzisha, amewashauri wananjombe waanzishe utalii wa baridi, ni vizuri uandike alichokisema na habari hii iko mtandaoni.
Wananjombe waanzishaje wakati Nyahenge wanayo kila mwaka

Tamko la RC ni agizo bwashee!
 
kumekucha kumekucha royo tuah ya baridi ipo bongoland naona ndugu zangu wa daslamu wanaenda kwa kasi kujionea hiyo baridi inafananaje
 
Leo baridi imekuwa fursa wakati ulaya kila kona barafu?!

Au hao watalii watatokea jangwa la Sahara?

Ohoo..!
 
Fursa ya ngono tu. Wanaopiga pesa ni wamiliki wa nyumba za kulala wageni.
IMG-20220713-WA0005.jpg
 
Back
Top Bottom