Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mungu ibariki NjombeWakazi wa mkoa wa Njombe wamesema hawajawahi kuishuhudia baridi kali kama hii ya mwaka huu
Wakazi wa mkoa huo wamepunguza muda wa kufanya kazi wakihofia kupatwa na Maradhi
Naye mkuu wa mkoa huo mh Kindamba amesema Baridi hiyo ni fursa kea mkoa huo kutangaza Utalii wa ndani na kuwaalika watu kufanya Utalii wa Baridi ili kuongeza mapato ya Serikali
Source ITV habari
Kitulo hiyosiku nyingine ikfika usiku unashika zaidi ya hapo Ila sehemu zote Makete ndo balaa inafikaga hadi 4° au pungufu zaidi.
Hapa Kindegebasi upepo mkali sana!Hata hapa Mbalamaziwa kwa kweli hali ni tete
Hakusema wameanzisha, amewashauri wananjombe waanzishe utalii wa baridi, ni vizuri uandike alichokisema na habari hii iko mtandaoni.Wakazi wa mkoa wa Njombe wamesema hawajawahi kuishuhudia baridi kali kama hii ya mwaka huu
Wakazi wa mkoa huo wamepunguza muda wa kufanya kazi wakihofia kupatwa na Maradhi
Naye mkuu wa mkoa huo mh Kindamba amesema Baridi hiyo ni fursa kea mkoa huo kutangaza Utalii wa ndani na kuwaalika watu kufanya Utalii wa Baridi ili kuongeza mapato ya Serikali
Source ITV habari
Wananjombe waanzishaje wakati Nyahenge wanayo kila mwakaHakusema wameanzisha, amewashauri wananjombe waanzishe utalii wa baridi, ni vizuri uandike alichokisema na habari hii iko mtandaoni.
Waanze kulima ngano sasa..Hakusema wameanzisha, amewashauri wananjombe waanzishe utalii wa baridi, ni vizuri uandike alichokisema na habari hii iko mtandaoni.
Hivi Kuna uhusiano wa baridi na ngono?Fursa ya ngono tu. Wanaopiga pesa ni wamiliki wa nyumba za kulala wageni.
Jana Arusha kuna muda iligonga 10Hata njombe wako vizuri kwa kweli
9°sio mchezo
Jana usiku njombe 9°
Alafu Iceland 11°
Nipo bagamoyo 23° lakini shughuli naiona
Angalia hali ya hewa kwa ustawi wa ngano.. utapata majibuHivi Kuna uhusiano wa baridi na ngono?
Fursa ya ngono tu. Wanaopiga pesa ni wamiliki wa nyumba za kulala wageni.
siku nyingine ikfika usiku unashika zaidi ya hapo Ila sehemu zote Makete ndo balaa inafikaga hadi 4° au pungufu zaidi.