Njombe: Wananchi washauriwa kutumia baridi kama Utalii wa ndani

Viongozi wa ccm kama machizi yan😀
 
Kumbe njombe wana RC boya kiasi hicho? Ukiona vyeti utakuta ana masters kabisa na anajiita msomi, njombe ina kitulo, njombe ina miti, njombe ina parachichi, njombe ina matunda aina ya Apple tena matamu na makubwa kuliko hata yale ya south kosa aite watu wajenge viwanda vya kusindika apple na waboreshe kilimo iwe apple inapatikana mwaka mzima yeye analeta blah blah, kosa apromote hata viazi mviringo kaona baridi ni fursa.
 
[emoji38][emoji38][emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana nilikutana kitu baridi hapa Mbeya kusema ukweli ni hatari maana hadi viungo vya mwili viliuma
. Leo afadhali kidogo lakini saa moja tayari nilikuwa kitandani.
 
Mama anaupiga mwingi, asante kwa kutuongezea baridi
 
Hatari sana
 

Attachments

  • FB_IMG_16574762361030568.jpg
    30.2 KB · Views: 3
Last week nilikuwa Iringa Eleven Centrigrade ilikuwa ni moto wa kuotea mbali
Nilikuwa nimelala kwenye Noah niliamka mwenyewe usingizi ulikata kikatili
 
Nendeni mkatalii mkirudi mtanikuta napalilia mihogo Kisarawe!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…