Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Naomba utoe coment unieleze ukweli wote nakosea wapi na nijirekebishe wapi
Nichane mkuu
Nichane makavu live
Kama ni ushaur naomba unishaur mimi kama mdogo wako nina miaka 24 kama uko chin ya hapo nishaur kama una mshaur kaka yako
Nipe ushaur kuhusu post zangu na coment zangu nakosea wapi na nijirekebishe wapi
Nakua naona watu wakidis sana post zangu nahis kuna sehemu nakosea sasa bas naomba unieleze ukweli ni wapi nikoseapo
Karibu sana
Asante sana
LONDON BABY
Naomba utoe coment unieleze ukweli wote nakosea wapi na nijirekebishe wapi
Nichane mkuu
Nichane makavu live
Kama ni ushaur naomba unishaur mimi kama mdogo wako nina miaka 24 kama uko chin ya hapo nishaur kama una mshaur kaka yako
Nipe ushaur kuhusu post zangu na coment zangu nakosea wapi na nijirekebishe wapi
Nakua naona watu wakidis sana post zangu nahis kuna sehemu nakosea sasa bas naomba unieleze ukweli ni wapi nikoseapo
Karibu sana
Asante sana
LONDON BABY