Njoo hapa unichane nambie ukweli nakosea wapi

Njoo hapa unichane nambie ukweli nakosea wapi

Bora umesema kwakweli, yaani imekuwa too much. Ukiingia tu jf unakutana na thread zake rundo, kila tukio linamtokea yeye tu humu duniani chaah!!! Yaani mpaka anachosha.
Kwa sasa nimeacha kabisa shemu na nimebadilika kabisa
 
Bora umesema kwakweli, yaani imekuwa too much. Ukiingia tu jf unakutana na thread zake rundo, kila tukio linamtokea yeye tu humu duniani chaah!!! Yaani mpaka anachosha.
Vizuri ameshajua wapi anakosea ajirekebishe kwakweli
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Naomba utoe coment unieleze ukweli wote nakosea wapi na nijirekebishe wapi

Nichane mkuu

Nichane makavu live

Kama ni ushaur naomba unishaur mimi kama mdogo wako nina miaka 24 kama uko chin ya hapo nishaur kama una mshaur kaka yako

Nipe ushaur kuhusu post zangu na coment zangu nakosea wapi na nijirekebishe wapi

Nakua naona watu wakidis sana post zangu nahis kuna sehemu nakosea sasa bas naomba unieleze ukweli ni wapi nikoseapo

Karibu sana

Asante sana

LONDON BABY
Hata hapa umekosea pia
 
unapenda kutufunga kamba kama vile watoto wadogo mara leo mkeo anakusumbua mara kesho unataka kuoa mara umepanda fisi mara bibi yako kafanya vile n.k ukipima story zako unaonekana hamna uhalisia
Kawaida tu mkuu mda mwingine tunachangamsha jukwaa tu
 
Acha kujiita 'baby boy' linatia shaka hilo jina.
 
Back
Top Bottom