Njoo na Id yenye miaka 6+na likes sio chini ya 50k

Imekuwaje tena chief
 
Nimelewa pombe jaman loooh savvana hizi loooo
 
Bahati Mbaya Ambao tuna ID Zenye Miaka hata 10 hatuna Hata Post 2000
ukiwa busy na maisha huwezi kuwa na posts nyingi humu.
Wapo ambao kutwa nzima ni Jf na ikipita siku hawaja'login wanaumwa, hao hauwezi kushindana nao, wengi hawana cha kuwa'keep busy hata hela ya bundle tu hawatafuti wao.
 
Hivi humu JF mnatingozana na kulana kweli pamoja na ID fake hizi?
Mkuu tuwe serious kidogo hapa kwamba hadi wewe haujala makinikia yoyote humu ndani .?
Mbona wewe ni miongoni mwa watu wazito humu ndani .
 
Hivi huwa wanafanya hivyo? sikujua
Kaa muda mrefu bila kucoment wala kupost chochote uone, mi kupitisha miezi sita ni kawaida tu, maana siku hizi ndo nimerudia tabia hii, maana nikiingia huku napita kimya kimya
 
ngoja niende huo uzi wa kupata likes 🚶🚶🚶
 


ahsanteee... maneno ya busara kutoka kwa mtu makini

hata ivyo napendaga avatar yako mkuu
 
Suala hapo sio kuchezewa bali ni umri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…