General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Likes zinaendana na replies.Naona u mkongwe ila hauna likes zaidi ya elfu 60
Unaweza ikimbia [emoji723] yako. Unahisi jukwaa zima limejua kwamba umechezea za chembe ila wanakuchora tu.Ila bado aibu haziishi... kuna vya mbavu vingine vinauma hatari.
Kwa hiyo age ina matter sana?Wakongwe wanajiamini zaidi hawa wapya vijana magumashi mengi
Unajipata sema hivi, nimegundua kituHalafu toka JF irudi baada ya kufungwa nikiji-search sijipati sijui hili tatizo nalipata mimi tu?
Kivip tunawafanya msijiaminiAaah wapi...nyie mnafanya tusijiamini.
MajukumuTatizo huonekani siku hizi...sijui nani karudia kukuficha.
Sana ulikuwa hujuiKwa hiyo age ina matter sana?
Sijawahi ingia chamber kwa ajili ya kuomba biology. Afadhali nimejua sasa ntakuwa makini zaidi na hizi requirementsSana ulikuwa hujui
Mh...Nafikirisha miaka 10 hapa sijawabi kupigwa Ban
Duuh...kwa hiyo mwanamke ambaye ana comments 7000 na kajiunga january 2017 humtaki?Likes zinaendana na replies.
Mimi nikiona dem humu ana replies nyingi tofauti na muda aliojiunga JF namuona ni jobless.
Huyo atakua mzigo (liability) hivyo nitashindwa kuunga juhudi za JPM kuleta maendeleo.
Otherwise, JF iwe ndio chanzo chake cha mapato au anakula pension yake baada ya kustaafu.