Njoo na Id yenye miaka 6+na likes sio chini ya 50k

Ngoja niwaambie vijana!!.....

Maua ya kondeni yanapendeza kwa asili yake na sio kumfurahisha mtu....ila Mtu kwa kufurahishwa nayo huyachuma na kuyapeleka nyumbani......

Kuwa vile ulivyo na watu wanaojua au kuona umuhimu wako watakuja karibu yako!!!!.....

Usibadili kariba yako kwa utashi wa mtu bali kariba yako ndio iwavutie watu!!!...


Word is enough for the wise!!!
 
Duuh 2011 post tatu.

naomba id yako mkuu kama unayo nyingine kama hii...huitumii kabisa
 
Mkuu haya maneno mazito saana kama mwenyekiti naomba utumie lugha rahisi nasi tuyaelewe.
 
Yes,
Huyo ni mzigo,
Bora hata hizo comments ziwe za maana,
Utakuta ni za ngono tu.

Kuna vitu vingi unaweza kutumia kutafsiri maisha ya mtu humu bila hata kumuona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…