MATAPELI wa JF ni pamoja nae. Mpe hela akuagizie kutoka nje, imekula kwako
UTETEZI WAKE HUU HAPA
Wana jamii,
Nadhani mnakumbuka miezi kadhaa iliyopita tulikuwa na biashara ya bidhaa toka nje Ughaibuni na kwingineko duniani.
Biashara yetu ilidumu kwa miezi kadhaa ambayo na tuliweza ku trend japo changamoto zilikuja kutokea za hapa na pale, ambazo nyingine ni binafsi na nyingine ni ambazo ziko nje ya uwezo wangu, au wetu kiujumla, kutokana na report mbali mbali za hapa JamiiForums na kusababisha kusambaa kwa habari ambazo si nzuri kwa kampuni yangu, ikaamuliwa kufungwa na taasisi husika,
kufungwa kwa ofisi kulipelekea matatizo makubwa sana na kukajenga hofu kwa baadhi ya wateja ambao walikuwa wameweka order ya mizigo yao ilipelekea kuzuka kwa nyuzi (threads mbali mbali ) kuwa;
KEVIN ISAYA TAPELI,
KEVIN ISAYA MDHULUMAJI
KEVIN ISAYA MUONGO
Na hii ilikuwa haki ya wateja kusema hivyo maana walikuwa hawajapata haki yao, huwezi kujitetea kama hujatimiza kitu ambacho mteja anataka haswa, kusema kweli hiyo ilipelekea mpaka msuko suko kazini kwangu maana jumuiya za kimataifa na usalama zilifika na kunihoji juu ya suala ilo ila kwakuwa nilikuwa na proof ya nini kinaendelea haikuleta matatizo sana nilieleweka, japo nilieleweka baada ya muda mrefu sana sana sana takriban miezi mitatu niki chini ya ulinzi nakumbuka tokea January 18-april sikuwa huru.
Hali hiyo ilipelekea kwanza kupotea kwenye mtandao kwakuwa sikuwa na access ya simu, na baadhi ya nyenzo za kuniwezesha kuwasiliana.
Najua wengi mtapuuza na kusema TAPELI, na wengine kutoelewa kabisa ninachoeleza ila anayejua ukweli ni mimi na Mungu.
Tuhuma za ID nyingi za JF, sina ID zaidi ya mbili nyinginezo ni za watu waliokuwa wananifanyia marketing na sales, siyo zangu na sizijuhi, nakumbuka mara kadhaa nimepata malalamiko kuwa kuna anayetumia ID nyingi kutangaza biashara kama yako, niliwauliza wenzangu na kusema ni wao, hivyo ID yeyete hapa iliyotumia ni ya watu wangu wa sales, ila sikuwa mimi direct, hata kama hazikuwa na matatizo, maana kuna mtu alisema nina account nne, jambo ambalo si kweli kabisa, mi natumia account ya Kevin Isaya, as verified user.
Kuna mda kama binadamu nilikuwa na hasira juu ya watu wengine hawadai wanachochea tu, ila samahanini nitakamilisha kila kitu soon as possible,
NATAKA KUWEKA KUMBUKUMBU SAWA KEVIN ISAYA SIYO TAPELI NI MTANZANIA SAFI, zilizotokea ni changamoto za kibiashara tu, ambazo kila mfanyabiashara hupitia ila kwa kiwango tofauti.
PILI nataka kutanguliza shukrani kwa uvumilivu wa wateja wote hata kama imepita miezi kadhaa kumbuka haki ya mtu haipotei kabisa, hata iwe lini huwezi kupata amani ya moyo au utulivu kama unajua kuna jambo muhimu hujalikamilisha.
HATUA NINAZOCHUKUA JUU YA WANAO NIDAI NA AMBAO WALIKUWA WAMEAGIZA MZIGO
Kwanza ieleweke kuwa kwasasa sina mpango wa kuendelea na biashara hii karibuni mpaka nifute madeni yote, na pili ikitokea nikaanza tena SITAKUJA KUPOKEA HELA YA MTU KABLA YA MZIGO hatua moja wapo nimekuwa nawasiliana na mteja mmoja mmoja kwa njia ambayo ni rahis kumpata.
Baada ya kuwasiliana nao naeleza bayana si rahisi kulipa hela kwa mkupuo wakati hukuitumia, wala hukuiwekeza mahali popote, hivyo basi ninalipa taratibu taratibu najua na ninavyoongea hapa kuna watu ambao mnasoma hapa mmeshalipwa, nilitaka niweke contact zenu na majina lakini mpaka mtoe idhini ya kufanya hivyo.
Wapo ambao hawajagusgwa kabisa hata shillingi mia, lakini ukweli ni kwamba hata iwe lini you will get what youn deserve, tuwe wavumilivu now am free to full fill everything, lakini kwa uhakika wa mambo nimeomba muda wa miezi miwili, mtakuwa na ya kusema mengine hapa.
THEN TUTUMIE KAMUSI TUSIPINDISHE MAANA YA TAPELI, KUNA TOFAUTI KUBWA KATI YA TAPELI NA ALIYECHELEWESHA HUDUMA KUTOKANA NA CHANGAMOTO.
TUKIO MUHIMU AMBALO SITASAHAU
Hata ukiwauliza wafanyakazi niliokuwa nawatumia ni kwamba watu tuliowatumia hela kudeliver mzigo baadhi walikimbia na hawajulikani walipo, ila tumefuatilia mpaka kwa wanasheria kule hasa Dubai wametuambia kufungua kesi is possible na malipo ndo changamoto maana wanasheria wale wanalipwa kwa saa, yaani wakili anayesimama kukutetea analipwa kwa saa, ambayo ni dollar 11,000 per hour, is better to pay people who demands instead of going in prolonged processes at high costs.
Pamoja na hayo naomba wafuatao wanisamehe kabisa wamepata usumbufu kipindi siko hewani na pengine kupata kashfa zisizo wahusu
1. Baba yangu mzani na ndugu kwa ujumla wamesumbuliwa sana kwa simu,
2. Wafanyakazi wangu wote, nawataja shania, angle na jacob wanisamehe sana,
3. Sarah Enock wa Morogoro,
4. Mr. Shuli ambaye alinirecomend
5. Mr Mdemu wa Arusha
Mawasiliano yangu ni;
+971523328490
+372557689780
kevinmulisa@gmail.com